GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Ha aha aaaaaa, yeye ndio Rais kweli, na nyenzo zote za kifedha za maendeleo ziko serikalini kwake. Na kodi hata yale majimbo waliyoshinda wapinzani atakusanya kwa mujibu wa sheria na kuitumia serikalini. Na ndipo hapo aliposema hawana wa kumlilia zaidi ya yeye , kwani hayo yote waliyo yaahidi wapinzani, ni yeye ndio wakuyatekeleza na serikali yake na si mwingine.
Mtasoma namba tu !
Mtasoma namba tu !