Vioja vya Mahakama ya Tanzania

Vioja vya Mahakama ya Tanzania

Jaji wawapi huyu katokea wapi ?
Mimi tu nimetambua ile ilikua offside au opponent daruga lake lilionekani yaani vikanyagio ,hivyo nifaulo ......anachemka wapi
 
Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ameendelea kuwashangaza wenye akili wote:

1) Anakiri kuwa shahidi kaingia na diary kizimbani, na diary hiyo siyo kitu kinachoruhusiwa kuingia nacho kuzimbani.

2) Anasema kuwa hakuna ushahidi unaoonesha kuwa shahidi aliitumia hiyo diary, na kwa sababu hiyo, hakuna kosa.

Kwa uelewawa wa huyo jaji ni sawa na kusema japo huruhusiwi kuingia na chochote kwenye chumba cha mtihani, lakini ukiingia nacho halafu hukukamatwa unakitumia, kosa la kutoruhusiwa kuingia na kitu hicho, linafutika!!

Note: Hivi kutotumia kitu kisichoruhusiwa kuingia nacho, kunafuta vipi kosa la kitoruhusiwa kuingia nacho? Hawa ndio majaji walioteuliwa na Marehemu!!
Majaji wa tiss
 
Majaji wa kupewa,lzm amfurahishe aliempa hio nafasi,acha tuone
 
Ujaweka maelezo ya kutosha kama diary ilikuwa na nini?

Pia unataka kutuaminisha kuwa mpaka leo majudge wanafuata maelezo ya Mwendazake?

Embu soma uzi vizuri, halafu urudie, urudie tena halafu edit. Huenda ukawa na hoja nzuri.
 
Kama ni kosa, na unauhakika, adhabu yake ni nini? Na hiyo adhabu inaathiri vipi mwenendo wa kesi?
Adhabu yake ni shahidi kukataliwa, na shahidi akikataliwa madhara yake kwenye mwenendo wa kesi unayajua. Ndiyo maana upande wa mashtaka, Jaji na serikali wasingeweza kukubali shahidi huyu awekwe pembeni.

Imekua ni bora kusema "Hakuna ushahidi kwamba alikisoma kielelezo hicho wakati wa kutoa ushahidi kizimbani"

Hii hata kwa tusio wanasheria ina ukakasi. Wao wanasheria wanajua zaidi.
 
Tukiwa tunasema Ukweli tutakuwa tunawasaidia sana hasa wanaosoma incase kama hawana Uelewa wa kinachoamuriwa na mahakama

(1) Jaji HAKUSEMA kuwa ni Makosa Shahidi kuwa na Diary mahakamani..
Kinyume na jinsi walivyotaka akina Kibatala.. Maana wao walisema Kizimbani huwepo Biblia Au Quran tu.. Lakini Ukweli ni zaidi ya Hivyo maana Hata VIELELEZO Shahidi aweza kuwa navyo AKISUBIRI UAMZI wa Kuruhusiwa kuvitumia.

Sheria inaposema Shahidi anaweza KUJIKUMBUSHA kwenye Diary yake maana yake alikuwa nayo,, muda wa Kujikumbusha siyo Kwamba ndipo atoke Kizimbani kwenda kuitafuta Diary yake.. Anakuwa nayo hapo. Bali anasubili Ruhusa ya mahakama/Jaji

(2)Hadi Kibatala Ana raise Hiyo Hoja Shahidi alikuwa HATUMII HIYO DIARY katika kutoa Ushahidi.. Tangu anaongozwa Na wakili wa Serikali hadi mapingamizi yanaanzia HAKUNA sehemu aliyoonekana Akiitumia Hiyo Diary

NINI ALIKOSEA SHAHIDI?? Ni kuifunua na Kuanza Kuandika yale yaliyokuwa Yanaendelea BILA RUHUSA YA MAHAKAMA.. Hilo Ndilo VIOLATION ambayo Jaji amezungumzia..
TUWE WAKWELI

(3) Kile walichokwenda Kusoma/Kuangalia ni je hayo aliyokuwa ameandika yanahusiana/Yanaharibu mwendelezo wa Kesi na Utoaji wa Ushahidi wake?? Na hapo Jaji ndipo aliunga Mkono hoja ya akina Kibatala kwenda Kuangalia kwenye Diary yake aliyokuwa anaandika/ameandika!!!!

(3) Sheria ya Ushahidi waliyoitumia akina Kibatala HAKUNA sehemu/Kifungu kinachosema Shahidi akikutwa na Diary basi aondolewe kuwa Shahidi, bali sheria imesema ni issue za Umri mdogo Au Mkubwa,, insanity SIYO kukutwa Na diary

Mifano inayotolewa eti mtu akikutwa na Desa AMBALO HALITUMII Chumba cha Mitihani inakuwaje!! .. Ni issue ambayo Haina relevance Hata kidogo..
MTAHINIWA HAWEZI KUONDOLEWA chumba Cha Mitihani Bali hilo Desa huchukuliwa na yeye kuruhusiwa kuendelea na Mtihani. Kisha huwa attached katika ripoti ya wasimamizi ili kusaidia kufikia uamzi Kulingana na Matokeo yake.

Narudia, Tuwasaidie wanaotusikiliza/Wanaosoma majibu yetu ili Hata uamzi unapotoka tusiwapotoshe.
Imeeleweka sana
 
Tukiwa tunasema Ukweli tutakuwa tunawasaidia sana hasa wanaosoma incase kama hawana Uelewa wa kinachoamuriwa na mahakama

(1) Jaji HAKUSEMA kuwa ni Makosa Shahidi kuwa na Diary mahakamani..
Kinyume na jinsi walivyotaka akina Kibatala.. Maana wao walisema Kizimbani huwepo Biblia Au Quran tu.. Lakini Ukweli ni zaidi ya Hivyo maana Hata VIELELEZO Shahidi aweza kuwa navyo AKISUBIRI UAMZI wa Kuruhusiwa kuvitumia.

Sheria inaposema Shahidi anaweza KUJIKUMBUSHA kwenye Diary yake maana yake alikuwa nayo,, muda wa Kujikumbusha siyo Kwamba ndipo atoke Kizimbani kwenda kuitafuta Diary yake.. Anakuwa nayo hapo. Bali anasubili Ruhusa ya mahakama/Jaji

(2)Hadi Kibatala Ana raise Hiyo Hoja Shahidi alikuwa HATUMII HIYO DIARY katika kutoa Ushahidi.. Tangu anaongozwa Na wakili wa Serikali hadi mapingamizi yanaanzia HAKUNA sehemu aliyoonekana Akiitumia Hiyo Diary

NINI ALIKOSEA SHAHIDI?? Ni kuifunua na Kuanza Kuandika yale yaliyokuwa Yanaendelea BILA RUHUSA YA MAHAKAMA.. Hilo Ndilo VIOLATION ambayo Jaji amezungumzia..
TUWE WAKWELI

(3) Kile walichokwenda Kusoma/Kuangalia ni je hayo aliyokuwa ameandika yanahusiana/Yanaharibu mwendelezo wa Kesi na Utoaji wa Ushahidi wake?? Na hapo Jaji ndipo aliunga Mkono hoja ya akina Kibatala kwenda Kuangalia kwenye Diary yake aliyokuwa anaandika/ameandika!!!!

(3) Sheria ya Ushahidi waliyoitumia akina Kibatala HAKUNA sehemu/Kifungu kinachosema Shahidi akikutwa na Diary basi aondolewe kuwa Shahidi, bali sheria imesema ni issue za Umri mdogo Au Mkubwa,, insanity SIYO kukutwa Na diary

Mifano inayotolewa eti mtu akikutwa na Desa AMBALO HALITUMII Chumba cha Mitihani inakuwaje!! .. Ni issue ambayo Haina relevance Hata kidogo..
MTAHINIWA HAWEZI KUONDOLEWA chumba Cha Mitihani Bali hilo Desa huchukuliwa na yeye kuruhusiwa kuendelea na Mtihani. Kisha huwa attached katika ripoti ya wasimamizi ili kusaidia kufikia uamzi Kulingana na Matokeo yake.

Narudia, Tuwasaidie wanaotusikiliza/Wanaosoma majibu yetu ili Hata uamzi unapotoka tusiwapotoshe.
Kuna sehemu umepotosha

1) Jaji amesema wazi kuwa hairuhusiwi kuingia na unauthorized materials kizimbani.

2) Unaweza kuiomba mahakama ikuruhusu kuingia na materials ambayo ni unauthorized, na utakapotaka kutumia, utaiomba mahakama ruhusa ya kutumia ili kure-fresh mind.

3) PGO inaruhusu polisi kutumia notebook yake lakini atalazimika kupata ruhusa ya mahakama

4) Mwishoni Jaji ameamua kutomwondoa shahidi kwa vile tu sheria haijaweka wazi mtu anayekiuka, akaingia na vitu visivyoruhusiwa kizimbani kama anaweza kuondolewa kuwa shahidi au la. Mawakili wa utetezi walimtaka afanye rejea ya kesi mojawapo ya kule US, naye amekataa. Hivyo akakubaliana na ombi la pili la mawakili wa utetezi ambalo lilikuwa,9 kama mahakama haitaki kumwondoa shahidi, basi pande zote zikague diary na kuona kilichomo humo kinaathiri vipi mwenendo wa ushahidi.

Maelezo kuwa eti shahidi huweza kuingia na kielelzo chake chochote kizimbani, ni uwongo. Kinachofanyika ni kwamba wakati unafanya submission, unaorodhesha vielezo vyako utakavyovitumia, na unaviwakilisha mahakamani kama sehemu ya submission. Na mahakama hutoa nakala ya vielelezo hivyo kuupatia upande mwingine kabla ya siku kesi inaposikikizwa. Ndiyo maana unaona mawakili wa upande wa pili, wanakuwa wamejiandaa kwa maswali kuhusiana na kielelezo chako unachotaka mahakama ikipokee.

Maelezo pia kuwa eti shahidi anaweza kuondolewa kwa sababu mbili tu ya uzee au ugonjwa, hukusikikiza vizuri. Sheria imeyataja hayo na pia kutamka kuwa 'na mambo mengine ambayo mahakama itaona yanaondoa competence ya shahidi.
 
Tukiwa tunasema Ukweli tutakuwa tunawasaidia sana hasa wanaosoma incase kama hawana Uelewa wa kinachoamuriwa na mahakama

(1) Jaji HAKUSEMA kuwa ni Makosa Shahidi kuwa na Diary mahakamani..
Kinyume na jinsi walivyotaka akina Kibatala.. Maana wao walisema Kizimbani huwepo Biblia Au Quran tu.. Lakini Ukweli ni zaidi ya Hivyo maana Hata VIELELEZO Shahidi aweza kuwa navyo AKISUBIRI UAMZI wa Kuruhusiwa kuvitumia.

Sheria inaposema Shahidi anaweza KUJIKUMBUSHA kwenye Diary yake maana yake alikuwa nayo,, muda wa Kujikumbusha siyo Kwamba ndipo atoke Kizimbani kwenda kuitafuta Diary yake.. Anakuwa nayo hapo. Bali anasubili Ruhusa ya mahakama/Jaji

(2)Hadi Kibatala Ana raise Hiyo Hoja Shahidi alikuwa HATUMII HIYO DIARY katika kutoa Ushahidi.. Tangu anaongozwa Na wakili wa Serikali hadi mapingamizi yanaanzia HAKUNA sehemu aliyoonekana Akiitumia Hiyo Diary

NINI ALIKOSEA SHAHIDI?? Ni kuifunua na Kuanza Kuandika yale yaliyokuwa Yanaendelea BILA RUHUSA YA MAHAKAMA.. Hilo Ndilo VIOLATION ambayo Jaji amezungumzia..
TUWE WAKWELI

(3) Kile walichokwenda Kusoma/Kuangalia ni je hayo aliyokuwa ameandika yanahusiana/Yanaharibu mwendelezo wa Kesi na Utoaji wa Ushahidi wake?? Na hapo Jaji ndipo aliunga Mkono hoja ya akina Kibatala kwenda Kuangalia kwenye Diary yake aliyokuwa anaandika/ameandika!!!!

(3) Sheria ya Ushahidi waliyoitumia akina Kibatala HAKUNA sehemu/Kifungu kinachosema Shahidi akikutwa na Diary basi aondolewe kuwa Shahidi, bali sheria imesema ni issue za Umri mdogo Au Mkubwa,, insanity SIYO kukutwa Na diary

Mifano inayotolewa eti mtu akikutwa na Desa AMBALO HALITUMII Chumba cha Mitihani inakuwaje!! .. Ni issue ambayo Haina relevance Hata kidogo..
MTAHINIWA HAWEZI KUONDOLEWA chumba Cha Mitihani Bali hilo Desa huchukuliwa na yeye kuruhusiwa kuendelea na Mtihani. Kisha huwa attached katika ripoti ya wasimamizi ili kusaidia kufikia uamzi Kulingana na Matokeo yake.

Narudia, Tuwasaidie wanaotusikiliza/Wanaosoma majibu yetu ili Hata uamzi unapotoka tusiwapotoshe.

Jaji uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara, ukutwe na desa kwenye chumba cha mtihani kisha unyang'anywe tu halafu uendelee na mtihani sijui na porojo za nini umekutwa nazo zitawekwa mwishoni! Unatufanya sisi ni watoto kwa maelezo ya kulazimisha? Huwa tunaona hata kwenye mpira ukidhamiria kumuumiza mtu hata bila kumuumiza, unapewa moja red card, na sio lazima uwe umemuumiza.
 
Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ameendelea kuwashangaza wenye akili wote:

1) Anakiri kuwa shahidi kaingia na diary kizimbani, na diary hiyo siyo kitu kinachoruhusiwa kuingia nacho kuzimbani.

2) Anasema kuwa hakuna ushahidi unaoonesha kuwa shahidi aliitumia hiyo diary, na kwa sababu hiyo, hakuna kosa.

Kwa uelewawa wa huyo jaji ni sawa na kusema japo huruhusiwi kuingia na chochote kwenye chumba cha mtihani, lakini ukiingia nacho halafu hukukamatwa unakitumia, kosa la kutoruhusiwa kuingia na kitu hicho, linafutika!!

Note: Hivi kutotumia kitu kisichoruhusiwa kuingia nacho, kunafuta vipi kosa la kitoruhusiwa kuingia nacho? Hawa ndio majaji walioteuliwa na Marehemu!!
Hahaha. Yaani mgonjwa aingie na bia wodini??? Kwann pale muhimbili via haziuzwiii?
 
basi wabadili vifungu,waruhusiwe kuingia na diary na simu ila wakatazwe kutumia. Nchi imejaa wapumbavu hii. Kama unategemea iendelee unajidanganya
Mkubwa jalibu kupitia vitabu vya sheria angalau mara moja moja upate uzoefu. Hakuna kifungu cha sheria kinachomkataza shahidi/mtuhumiwa kuingia kizimbani akiwa na cm au note book. Bali ukitaka kurejea katika note book yako uliyonayo unatakiwa kuomba idhini kwa hakimu/judge.

Hiyo ni kwa mujibu wa sheria. Hivyo ukiingia na note book kizimbani na usiitumie hakuna kosa. Lakini ukiingia nayo na ukaitumia bila idhini ya hakimu/judge ni kosa. Kwa maana hiyo upande wa utetezi wanao wajibu wa kuthibitisha kuwa shahidi huyo alikuwa akisoma hiyo note book wakati akitoa ushahidi wake.
 
Binafsi najiuliza, kama jibu ni hilo, kwanini uamuzi huu hakuutoa siku ile ile alipokamatwa na diary?

Kwa maneno mengine, kama hoja ni shahidi kutumia au kutotumia hiyo diary, kwanini Jaji hakujikita kwenye hii hoja tangu siku ya kwanza shahidi huyo alipokutwa na diary mahakamani?

Angejikita kwenye hii hoja, si ingechukua dakika chache tu kutoa uamuzi kuhusu hili jambo?

Je,huu si ushahidi kwa Jaji ana upande kwenye hii kesi?
Nilisema toka jana ,ama jaji anataka wamkatae ajitoe ,au hawa mawakili wa utetezi wanaandaa hoja watakazotumia wakati ukifika wa kukata rufaa kupinga hukumu ya huyu jaji. Tujue muda huwa niwamuzi mzuri sana.
 
Mkubwa jalibu kupitia vitabu vya sheria angalau mara moja moja upate uzoefu. Hakuna kifungu cha sheria kinachomkataza shahidi/mtuhumiwa kuingia kizimbani akiwa na cm au note book. Bali ukitaka kurejea katika note book yako uliyonayo unatakiwa kuomba idhini kwa hakimu/judge.

Hiyo ni kwa mujibu wa sheria. Hivyo ukiingia na note book kizimbani na usiitumie hakuna kosa. Lakini ukiingia nayo na ukaitumia bila idhini ya hakimu/judge ni kosa. Kwa maana hiyo upande wa utetezi wanao wajibu wa kuthibitisha kuwa shahidi huyo alikuwa akisoma hiyo note book wakati akitoa ushahidi wake.
Na ikiwa na majibu jeeeee
 
Jaji anayesikiliza kesi ya Mbowe ameendelea kuwashangaza wenye akili wote:

1) Anakiri kuwa shahidi kaingia na diary kizimbani, na diary hiyo siyo kitu kinachoruhusiwa kuingia nacho kuzimbani.

2) Anasema kuwa hakuna ushahidi unaoonesha kuwa shahidi aliitumia hiyo diary, na kwa sababu hiyo, hakuna kosa.

Kwa uelewawa wa huyo jaji ni sawa na kusema japo huruhusiwi kuingia na chochote kwenye chumba cha mtihani, lakini ukiingia nacho halafu hukukamatwa unakitumia, kosa la kutoruhusiwa kuingia na kitu hicho, linafutika!!

Note: Hivi kutotumia kitu kisichoruhusiwa kuingia nacho, kunafuta vipi kosa la kitoruhusiwa kuingia nacho? Hawa ndio majaji walioteuliwa na Marehemu!!
Aibuuuu
 
Back
Top Bottom