Alaa na Mkapa anaweza kuthibitisha pia sio?Anahitaji kuthibitisha anayosema pamoja na hizo kauli za mkapa azithibitishe huu si wakati wa hearsay evidence tunahitaji vitu vitakavyo onyesha ukweli
mkapa anaweza kwa sababu anaccess na ducument we vipi lakini vincent haweziAlaa na Mkapa anaweza kuthibitisha pia sio?
Si arudi uwanja wa vita Arumeru, anashindwa kipi kama kweli anao ushahidi..mbona kenda kuomba samahani nyingi na kulialia jitu zima..mkapa anaweza kwa sababu anaccess na ducument we vipi lakini vincent hawezi
Huyu Vincent angeulizia kwa wenzie kwanza,AMINA CHIFUPA YUPO WAPI? Kama amejibiwa Ipasavyo basi angenyamaza kwa Maslahi yake na familia
kweli hapa tumejaa wazushi, Je unafahamu kuwa Mwalimu ndiye aliyekwenda Washington DC kumwakilisha Mkapa enzi hizo kuongea na Wolfehson akiwa Rais wa Benki ya Dunia kuinusuru NBC na NMB? na Mwalimu alifanya hivyo? Na ndiye maana Leo bado zipo! Kama silo Mkapa kushirkiana na Mwalimu, leo hii mngebakiwa na Meridian Biao na mabenki ya nje tu!
kuhusu kubinafishwa kwa NBC na MNB Mkapa amegeuzwa Baniani, kiatu chake dawa na mumshukuru Mwalimu kuridhia kufana kazi hiyo kwa niaba ya Mkapa ushauri wa wakubwa ulikuwa tusiwe na mabenki yetu wenyewe!
Aliyoyasema Vicent wala hayana haja ya kutafuta ushahidi hili jitu halina hata integrity, limeuza nchi yetu kama lilivyouza familia yake. I hate what he did to Steve, mwanaye mwenyewe wa damu japokuwa hainihusu kwa sababu ya mwanamke ndivyo kalifanyia taifa letu huyu binadamu kweli.!
Ushauri wa bure kwa Mh Vincent Nyerere ni kumtaka awe na ushahidi wa kutosha kusupoprt matamshi yake, matamshi ambayo ni serious stuff dhidi ya Rais mstaafu.
Hisia peek yake bado hazisimami despite all the sensationalism caused.
Swalama wazee wa Dar tupo!... Kuhusu Steve, Ya Las Vegas, hubakia Vegas!Nachosema mimi kuna vitu vinajulikana kwa tabia ya mtu. Mara nyingii sana Tabia ya kiongozi huonekana hata nyumbani kwake. Kwa mfano Marehemu Nyerere aliwapenda watanzania na mustakabali wa nchi yetu kuliko hata watoto wake. Alitupenda na kutufanyia mengi sana na Afrika kuliko yeye mwenyewe na ndio kafa maskini - Countryman - Aliwajibika kwa TAIFA.
mkulu salama lakini? hebu funguka basi, kwani alifanya nini kwa huyo mwanae steve? naomba unijuze tafadhari
Haya yote CDM Wanayajua na kuyasema kila siku na ndio mana wana majimbo yakutosha bungeni!Hili la Mkapa kujibu Mapigo!Yeye kamwaga mboga wao wanamwaga ugali!Vicent asingejibu Mapigo angetupwa mbali sana kwenye kampeni!Mshaurini Vicent Nyerere aachane na hizo siasa. Hoja kuu ambayo alitakiwa kuisimamia ni kwamba Vicent Nyerere hajawahi ku-claim mahali popote pale kwamba yeye ni mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere. Kwa hiyo, claim ya Mkapa ilikuwa baseless na haiwezi ku-hold maji na hizo ndio siasa za maji taka, watu wanaacha hoja halafu wanakijita kwenye kuzua vijambo na vijimambo.Discussion za chanzo cha kifo cha Mwalimu Nyerere kwa sasa haziwezi kuwasaidia CHADEMA ili washinde huko Arumeru Mashariki. Mjadala huo kwa sasa hauna msaada wowote kwa wananchi wa Arumeru ambao wana matatizo ya Ardhi na Maji, pamoja kukosekana kwa ajira kwa vijana.Focus ya Kampeni ya CHADEMA iwe ni kwenye kero za wananchi wa Arumeru. Ili kumgonga vilivyo Mkapa na Chama chake, matatizo ya maji na ardhi hayajaanza leo wala juzi, yapo kwa miaka mingi sasa. Je, Mkapa akiwa Rais ina maana hakuyajua hayo matatizo, kama aliyajua, kwanini hakuyashughulikia? Kikwete yuko madarakani mwaka wa 7 sasa, je hajapelekewa hayo matatizo au hajui hayo matatizo? Je, wananchi watakuwaje na imani kwamba Mkapa akienda kumwambia Kikwete matatizo ya maji na adhi atayatatua na ilihali amekuwa madarakani kwa miaka 7 na matatizo yako pale pale? Iwapo Mzee Sumari (RIP) alishindwa kusaidia kutatua matatizo ya Arumeru Mashariki akiwa Naibu Waziri wa Fedha (sehemu ya serikali ya chama tawala), je leo hii mwanae ndio ataweza kuyatatua? CCM kimebaki kuwa ni chama cha kuweka ahadi hewa bila kutimiza. Hapo ndio CHADEMA inatakiwa kusimamia kwa kuwa ndo ukweli wenyewe na wananchi wanajionea. Wakumbusheni kwamba hata Igunga ambako CCM walishinda uchaguzi mdogo, zile ahadi zote za CCM zilizotolewa kwa wana Igunga ikiwemo ya kujengewa daraja hazijatimizwa hata moja!
Huyu bwana mdogo vicent atakuwa kalewa sifa atoe fact ambazo zinasibitisha anachokisema.zikiwemo report za huyo daktari anae msema alitakiwa atoe report toka lin mtoto akatoa taarifa ya familia wakati baba yupo?