Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

Naimani sio kwamba tulikua hatufaamu ili swala laku wawa kwa mwalimu ila nani ata lileta humu!!Nimekua niki fikiri kila siku ili swala lita anza vipi,Namshukuru sana MWENYEZI MUNGU LIMEFIKA HUMU TENA MUUSIKA TOKA UKOO UO,MKAPA HANA LA LAKUJISAFISHA NALO.MWALIMU ALISEMA RASILIMALI ZA TANZINIA ZIACHWA MPAKA WATANZANIA WATAKAPO PATA WATAALAMU WAKITANZANIA WAZITUMIE KWAKUWANUFAISHA WATANZANIA WOTE,ILA KWA TAMAA ZA MKAPA ALIKIUKA,NDIPO UGOMVI0 WA MWALIMU NA MKAPA ULIPO ANZA NAKU PELEKEA KIFO CHA MWALIMU KUTOKEA,JE MKAPA ATA TUAMBIA SIO YEYE ALIE PANGA MBINU ZAKU MUUA MWALIMU ILI AWEZE KUWAIBIA WAVUJA JASHO WATANZANIA BILA BUGUZA ZOZOTE NA AKA FANIKIWA.
 
Mshaurini Vicent Nyerere aachane na hizo siasa. Hoja kuu ambayo alitakiwa kuisimamia ni kwamba Vicent Nyerere hajawahi ku-claim mahali popote pale kwamba yeye ni mtoto wa Marehemu Mwalimu Nyerere. Kwa hiyo, claim ya Mkapa ilikuwa baseless na haiwezi ku-hold maji na hizo ndio siasa za maji taka, watu wanaacha hoja halafu wanakijita kwenye kuzua vijambo na vijimambo.

Discussion za chanzo cha kifo cha Mwalimu Nyerere kwa sasa haziwezi kuwasaidia CHADEMA ili washinde huko Arumeru Mashariki. Mjadala huo kwa sasa hauna msaada wowote kwa wananchi wa Arumeru ambao wana matatizo ya Ardhi na Maji, pamoja kukosekana kwa ajira kwa vijana.

Focus ya Kampeni ya CHADEMA iwe ni kwenye kero za wananchi wa Arumeru. Ili kumgonga vilivyo Mkapa na Chama chake, matatizo ya maji na ardhi hayajaanza leo wala juzi, yapo kwa miaka mingi sasa. Je, Mkapa akiwa Rais ina maana hakuyajua hayo matatizo, kama aliyajua, kwanini hakuyashughulikia? Kikwete yuko madarakani mwaka wa 7 sasa, je hajapelekewa hayo matatizo au hajui hayo matatizo? Je, wananchi watakuwaje na imani kwamba Mkapa akienda kumwambia Kikwete matatizo ya maji na adhi atayatatua na ilihali amekuwa madarakani kwa miaka 7 na matatizo yako pale pale?

Iwapo Mzee Sumari (RIP) alishindwa kusaidia kutatua matatizo ya Arumeru Mashariki akiwa Naibu Waziri wa Fedha (sehemu ya serikali ya chama tawala), je leo hii mwanae ndio ataweza kuyatatua? CCM kimebaki kuwa ni chama cha kuweka ahadi hewa bila kutimiza. Hapo ndio CHADEMA inatakiwa kusimamia kwa kuwa ndo ukweli wenyewe na wananchi wanajionea. Wakumbusheni kwamba hata Igunga ambako CCM walishinda uchaguzi mdogo, zile ahadi zote za CCM zilizotolewa kwa wana Igunga ikiwemo ya kujengewa daraja hazijatimizwa hata moja!

Umeongea vizuri mkuu,ila Nyerere V nae hakukosea kumjibu huyo muuza nchi Mkapa,politics ndivyo ilivyo duniani kote na si hapa tu,Mkapa lengo lake lilikua kumchafua sasa kama Nyerere V angekaa kimya basi tungehaminishwa huzushi huo wa Mkapa ni kweli,in politics there is no unturn stone mkuu,V Nyerere kafanya vizuri sana kumuanika Benja,japo madhambi yake yalikua yakijulikana!na kuhusu maji na ardhi mbona Nyerere V kaongelea vizuri kama ulivyo ongelea wewe?soma tena vizuri uielewe!
 
JINA LA NYERERE BABUKUBWA NDIO MAANA VICENT HUWA HATAJI MAJINA MENGINE (KIBOKO, JOSEPHAT) huenda hata ubunge kaupata kwa mgongo wa jina la Nyerere (Julius Baba wa Taifa)
Wananchi wa Musoma Mjini waliomchagua VN wanamfahamu vema kama mtoto wa Kiboko Nyerere. Ficha ujinga wako siyo kila mtu ana uelewa mdogo kama wewe!
 
Where are you IMRAN-SHIMBO come back now it is a ripe time.

IMRAN - SHIMBO
Junior Member

Join Date : 18th November 2010
Posts : 1 Posted 18th November 2010 23:35
Rep Power : 0
Likes Received 0
Likes Given 0

Dah,
huyu jamaa post yake ya kwanza ilikuwa ni thread ambayo alikuwa aki question kifo cha
nyerere,na ikawa ya mwisho,...sijui kama yuko hai maskini.
 
Mzee Mkapa, achana na vijana hawa huwawezi!! Watakuvua nguo mbele ya Mama mkwe!!
Si unajua haka ka ishu kalivyo? Kumbuka mara yakwanza ulivoenda kumshauri Mwalimu majibu aliyokupa, ukaona haitoshi ukamualika Magogoni Mzee akagoma kuja ikabidi uagize watu ili kumshawishi? Mwalimu akahoji "afya yangu Rais Mkapa inamnyima nini?" Na majibu mengine ambayo watumwa wako waliona aibu kukueleza!! Baada ya hapo....si uanakumbuka lakini?

I 'll be back.
kumbe kuna mengi yamejificha ee?OMG!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mnajua, mkapa alifahamu kuwa nyerere hakupenda sera zake za wizi wizi. Akaona njia pekee ni kumpeleka Hospt ya St Thomas akapumulie mashine. Jitu baya sana hili
 
JINA LA NYERERE BABUKUBWA NDIO MAANA VICENT HUWA HATAJI MAJINA MENGINE (KIBOKO, JOSEPHAT) huenda hata ubunge kaupata kwa mgongo wa jina la Nyerere (Julius Baba wa Taifa)

Kwani ni dhambi? Mbona tunaita Jk kila siku, na kuacha majina ya kati?
 
Vincent Nyerere ni mtoto wa nje wa mdogo wake Nyerere, Familia ya Nyerere hawamtambui kabisa mdogo wake Nyerere alizaa na mwanamke mmoja pale Makoko.

Ni nini maana ya mtoto wa nje? Kwani wewe ni mtoto wa ndani? Acheni kunyanyapaa watoto wa wenzenu. Kama una uwezo nenda kamuulize mama yako akwambie baba yako ni nani. Ama chukua huyo unayeamini kuwa ni baba yako mkapime DNA kama hujahama mji!
 
JINA LA NYERERE BABUKUBWA NDIO MAANA VICENT HUWA HATAJI MAJINA MENGINE (KIBOKO, JOSEPHAT) huenda hata ubunge kaupata kwa mgongo wa jina la Nyerere (Julius Baba wa Taifa)

Kamura acha kujishushia hadhi, fikiria Ki JF bana.
Julius Kambarage mwenyewe hakutaja majina mengine kama Burito ambalo ndo la babake mzazi badala yake akatumia lake binafsi la Kambarage na lile la ukoo Nyerere?
Usijitie upofu, unaonekana u bado mdogo sana na hufahamu mambo mengi bado, usiogope kuuliza.
 
-Watanzania tutaendelea kubaki kuwa wajinga Period kwa kuependa na kushabikia siasa za maji taka.

-Nilijua CDM wameamua kuachana nazo kwa sasababu hazileti tija ila zinaendeleza siasa za kizamani ambazo hazilisaidii Taifa.


1.Kama vicent alijua wazi kuwa Mkapa na Serikali yake ndiyo waliomumaliza JKN,alikuwa wapi kusema zamani?huu ni unafiki mkubwa..Haiwezekani ikuchukue miaka kumi na mbili kuja kusema jamba ambalo umekaa nalo mika 12,totally rubbish na inaonyesha ni kwa jinsi gani kuna machafu hata ya CDM anayo sema anasubiri baadaye aje Kuyasema.


2.Hoja hii ni dhaifu na CCM watatumia Mtu wa karibu wa Mwalimu kwend ahuko kukanusha na kumkana Vicent(hili nalitegemea litatokea)


-Baadaye CDM itaonekana wamezusha hili na litawaharibia..Ugonjwa wowote hautakiwi kusubiri miaka mingi ili utoe dawa yake.


-Mkapa ni Mzoefu na alitumia maneno ya kuwatusi CDM kwa kuwa anawajua watabwatuka na kusahau focus ya kampeni zao....


-Kwa knowledge moja tu ya kipuuzi..Kifo cha Mwalimu kimewapunguzia nini watu wa Arumeru?ukiwaambia alimalizwa na Mkapa et all kinajibu mattatioz waliyo nayo?


Sijui...Ila hili la Mkapa ni kama uzushi tu

Mheshimiwa, tunaomba uache kukurupuka na kutupa shutuma kwa Vicent Nyerere. Kwani ni nani aliyeanzisha yote hayaaa (Kunya anye bata tu). Halafu kwani habari ya kwamba Vicent si miongoni mwa wanafamilia ya Nyerere ilikuwa na tija gani kwa wana Arumeru, huoni tulijiuliza Taifa zima kulikoni??? Na hii habari ya Utata wa Kifo cha Mzee wetu Marehemu Julius (RIP) aliyeondoka Kifimbo juu, tunaihitaji watanzania wote wenye mapenzi mema. Sasa pia tutataka kujua na uhalisia wa chanzo cha ugonjwa wa ajabu wa Dr. Mwakyembe ambaye alidiriki kusimama kupambana na UFISADI. Sasa tumeijua serikali yetu vizuri, ukiwa mpigania haki na kuwazuia wasifanye UFISADI wao, basi wewe unakuwa kwenye danger zone. Lazima tujiulize, huwezi kutuambia ni wana Arumeru tu inawahusu. Hata wana Arumeru wanajiuliza hivihivi, na ndiyo majibu yao kwanini wameporwa ardhi na kupewa wawekezaji. Acha niendelee kulia....
 
Wana JF leo katika viwanja vinne tofauti vya kampeni Mbunge wa Musoma Mjini ambae ndie Meneja Kampeni wa Arumeru Mashariki(Vincent Nyerere) amemjibu Mkapa kuwa.

Aache unafiki wa siasa kwani ana Siri nzito juu yake ambayo ni muda muafaka sasa kwa Watanzania kuijua,na kudai kuwa yeye si mtoto wa Julius Nyerere kama anavyopotosha Mkapa ila ni wa Josephat Nyerere

Josephat na Julius ni mtu na Mdogo wake(kama hataki ajinyonge) huku akishangiliwa na umati mkubwa Sana uliohudhuria katika viwanja vya mkuytano uliofanyika Sing'si alimtaka Mkapa ajibu na aweke wazi juu ya Kifo cha baba wa Taifa aliyeondoka Butiama akiwa Mzima aliyekwenda tu kupima Afya na kurudi Mfu,huku umati ukipiga Mayowe kwa kushangilia,alitaka aweke wazi kilichomuua baba wa Taifa huku akimwaga Hadharani tofauti zilizojitokeza na Ugomvi kati yake na Mwalimu kilichopelekea Mkapa kuamua na kulazmisha mwalimu apelekwe London kutibiwa(kuuwawa) huku Nyuma akimyamazisha Daktari wa Mwalimu kwa kumpa Uwaziri ili asiseme kilichotokea.

Na alisema ilikuwaje Mkapa ataje Ugonjwa wa mwalimu ili hali Daktari wake yupo?alihoji, amemwaga vitu vingi ambavyo kwa kweli vitaleta Maswali Mengi juu ya wananchi wa Tanzania na dunia kwa ujumlaa...

Nikiripoti kutoka Uwanja wa Mapambano wa Arumeru ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa jamii Forums


Nahisi saivi anatafutwa Makongoro ili apotoshe kauli hii.
Atasema "familia haiamini hayo,ni porojo za vicent tu na chama chake kuchonganisha
wananchi"........................

Am waiting for my statement to be proved.
 
images



MAumivu yalikuwa makubwa mno kwa watanzania, watu walilia sana
hana sasa watu bado wanamkubuka, kumbe aliyepanga mipango ya mauaji ni Ben( shame on you)




images

hizi picha zimenisononesha ghafla! Ben amechokoza nyuki matokeo yake siri iliyojulikana na wachache inakuwa wazi kwa wananchi na kuona jinsi alivyokuwa mnyama! Hana tofauti na gaidi! Lakini niungane na Keil,Sikonge na wengine kuwa Vicent kashamwaga mboga inatosha kwa kipindi hiki,aendelee na kampeni hii hoja ikae kwanza pending watu waendelee kudigest taratibu.
 
kumbe mkapa ndie alimuuaaa NYERERE JAMANI LOH NA ILAANIWE FAMILIA YAKE MAISHA NA ALIEMUUA BALALI JE??
MBONA NAHISI HUYU JAMAA NIZAIDI YA MUUWAJI ATAJIBU NINI HUKO JUU NA UNAFIKI WAKE WA KWENDA KANISANAI PALE UPANGA KILA ABH KUWAPANGA MAPOLISI OVYO NA KUWEKA FOLENI KWA AJILI YA MUUWAJI

SHAME SHAME SHAME
 
Ni nini maana ya mtoto wa nje? Kwani wewe ni mtoto wa ndani? Acheni kunyanyapaa watoto wa wenzenu. Kama una uwezo nenda kamuulize mama yako akwambie baba yako ni nani. Ama chukua huyo unayeamini kuwa ni baba yako mkapime DNA kama hujahama mji!

Mkosa hekima na adabu utamjua tu,labda yeye ndie asiyemtambua V.N,lakini wanafamilia wanamtambua,na hata Makongoro alishawahi kuliongelea ilo,na kuthibitisha ilo kuna kipindi V.N alikua akiishi na familia ya Julius!kwanza hoja aliyeyoileta eti V.N ni mtoto wa nje ni hoja ya kitoto sana ambayo imeonyesha wazi upeo wa mleta hiyo hoja ni mdogo sana!nini maana ya mtoto wa nje kwake yeye?
 
Mwalimu alikufa kwa Upungufu wa Kinga Mwilini, uliosababishwa na Leukemia!
Mengine ni projo tu za kampeni. RIP St. Nyerere!

Mbona mlimfunga Mchungaji Mtikila aliposema hayaa. Leo ndiyo mnajidai kukubaliana na Mtikila siyo. Toeni maelezo ya kutoshaaaa.....
 
Back
Top Bottom