mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,137
Naishi dar ila Namfaham laswai kama wakala ya sukari ya zakaria (haruna) na pia kama tajiri pekee anayekuwa na hard cash muda wwte hata 10m USD , kwahyo sio mtu mdogo muulize Jakaya anamfaham vyema
Wewe sio wa kuniambia hizo mishe za Laswai njua mbaya kabisa,mimi ndio natakiwa nikueleze wewe khs mishe zake.
Kuna sehemu nilisema Laswai ni mtu mdogo?