King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Habarini wanaJF, wadau, na wachangiaji wote humu ndani. Leo nimekumbuka baadhi ya vitabu vya hadithi vya kiswahili nilivyovisomaga enzi zilee.
Vitabu kama vya Someni kwa Furaha, Hadithi za Bulicheka, Kalumekenge, na vingine vingi.
Kwa siku hizi sivisikii tena, labda kwa sababu watoto wa siku hizi elimu yao imebadilishwa sana. Ila yote tisa kumi, vile vilikuwa vitabu vizuri sana vilivyotufanya baadhi yetu (na wengine wengi) kupenda sana kusoma hadithi na vitabu kwa ujumla. Je, vitabu kama hivi naweza kuvipata wapi, wakuu?
Natanguliza shukrani nyingi kwenu.
Vitabu kama vya Someni kwa Furaha, Hadithi za Bulicheka, Kalumekenge, na vingine vingi.
Kwa siku hizi sivisikii tena, labda kwa sababu watoto wa siku hizi elimu yao imebadilishwa sana. Ila yote tisa kumi, vile vilikuwa vitabu vizuri sana vilivyotufanya baadhi yetu (na wengine wengi) kupenda sana kusoma hadithi na vitabu kwa ujumla. Je, vitabu kama hivi naweza kuvipata wapi, wakuu?
Natanguliza shukrani nyingi kwenu.