Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Mkuu hujasoma vizur? Tumetumia njia ya moro-dar sio b/moyo,by the way hata hiyo njia huwez tumia 2hrs ni zaidi ya 3:30 hrs hapo
Mimi jamaa nawashangaa sana nyie jamaa..!!

Nimepanda bus flani (•••) tukapitia Bagamoyo, msata mpaka kufika moro ni masaa 2:45, sasa sijui ulazima mnaotumia wa masaa 6-8 ni wa nini?
Huku foleni utaikuta wapi ?.
Yawezekana nabishana na mwanangu ambaye anajifanya anajua kumbe hajui mimi ndiye sababu ya yeye kujua.
Pole.
 
Yaani jamaa ni mbishi bure,tumetoka moro saa 1 kanili na new force tumeingia ubungo saa 6 na nusu anashindwa kuelewa siku hazifanani,new force hiyo hiyo ikichangamka intumia 4 hrs tu
We jamaa vipi,umetoka Dar lini? Siku hizi Dar Moro kula masaa 4,5,6 ni kawaida mno. Mbezi penyewe lazima zikatike saa 2,Mlandizi lazima ile saa1,Chalinze saa1 nyingine. Chalinze hadi Moro lazima ule saa 1:30 hadi masaa2. Kiufupi,barabara ya Dar-Chalinze imeelemewa. Kuna siku lori zinafunga kuanzia Mbez hadi Chalinze,hata pa ku overtake hakuna.
 
Dar - Moro ni masaa mangapi kwa uzoefu wako. Maana unaweza bisha kitu usichokijua
Bado masaa nane Dar to Moro haipenyi akilini asilani, hata uondoke Dar saa 1usiku huwezi fika moro saa 4!!!
 
Mkuu Hongera kwa simulizi nzuri na yenye uhalisia.Ila Hapo kwenye vyoo vya kukaa ukienda Marekani Ndio vyoo vyao hivyo.Kwasisi wabongo hatujavizoea pia inatokana Na mazingira machafu haswa Kwa Public toilets.
 
Waziri wetu mpendwa wa Mambo ya ndani askari wako wa barabarani ni wala rushwa sana kutokana na huu jamaa anavyosimulia habari yake. Pia wananyima mapato ya serikali. Onyesha makali yako waziri.
 
Hilo jina la hicho kituo nilidhani ni kile chama chetu kisichogombea.
 
Kabisa yaan askari aningia grin anazugazuga na watu wamekaa chini kisha anashuka anapewa chake basi safar inaendelea
Waziri wetu mpendwa wa Mambo ya ndani askari wako wa barabarani ni wala rushwa sana kutokana na huu jamaa anavyosimulia habari yake. Pia wananyima mapato ya serikali. Onyesha makali yako waziri.
 
Mkuu ni kweli binafsi sipendezwi nvyo,unakuta mzigo ukitua maji yanakurukia au unkuta vyoo vibovu tu magonjwa ya fangasi yanaanzia hapa.
Mkuu Hongera kwa simulizi nzuri na yenye uhalisia.Ila Hapo kwenye vyoo vya kukaa ukienda Marekani Ndio vyoo vyao hivyo.Kwasisi wabongo hatujavizoea pia inatokana Na mazingira machafu haswa Kwa Public toilets.
 
Back
Top Bottom