Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Kama umeshindwa kuelewa nilichoandika hapo juu basi humo ndani ya kichwa chako huenda ubongo umeanza kuoza.

Wahi hospitali.
Umeandika nini kwani? We umesema kuna watu walitoa taarifa. Mi nakuuliza wanajuaje wakati tunatumia ID fake?
 
Sometime muwe kama great thinker, anayekuwekea hiyo signature avatar kama JF-Expert Member au Verified Member ni wewe mwenyewe au uongozi wa JF baada ya kujiridhisha?
 
Hauna lolote mtoa simulizi ,simulizi hata mambo ya uchawi hamna ndo nn sasa umeandika
 




Nimesearch humu JF nikakuta huo uzi na nika ucopy na kupaste humu.
Inavyoonesha ni kweli na kwa hiyo huu uzi Mods waufunge tu kama imethibitika.
R.I.P Mpauko.
 
Back
Top Bottom