Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Vimambo na vijimambo safari yangu Mtwara to Singida

Ndio niloyotumia na kama nimekosea nitaisoma vizuri nifikapo kwani natoka dar kwenda Mtwara sasa,hakika inasaidia ajabu,nakumbuka nilitumia zingine hzikusaidia ila hiyo kiboko.
This medicine only treats bacterial infections. It won't work for the common cold, the flu, or any other viral infections.

Antibiotics such as metronidazole can cause diarrhea, which could be a sign of a new infection.

Call your healthcare provider right away if you have diarrhea that's severe, watery, or bloody.
 
Baada ya kuwasili misuna stendi,Singida nilianua kufanya utaratibu wa Lodge,nilibahatika kupata lodge ya bei nzuri tu (wenye bei zetu tunajua shingapi).

Baada ya mapumziko machache mnamo saa 3 usiku nilitoka kwenda kutafuta chakula,nilijivutavuta hadi mkahawa mmoja wa hadhi ya kina kajambanani na kugiza wali kwa nyama,hapa nilishikwa na butwaa kuona nyama ni nyingi tena iliyokushwa mbali ya ile ya kwenye mchuzi.

Nilifikiria machache kuhusiana na bei ya nyama nyingi vile kuwa chini kiasi hiko,labda ni wingi wa mifugo lakini huenda ikawa ya punda hii,mawazo hyo yote yalizimwa na utamu wa nyama ile hatimaye nilitosheka na kushika njia kurudi lodge.

Kesho yake baada ya kumaliza kilichonileta niliamua kunyoosha miguu katika mitaa mbali mbali ya Singida na nilijifunza na kuenjoi mengi kama vile,

Ng'ombe wenye pembe kuuuubwa ajabu sijui ni aina y ng'ombe gani ile maana ule ukubwa wa pembe unaweza kuzidi hata paja za ng'ombe mwenyewe.

Wingi wa punda mitaani,wengi wakiwa wamebebeshwa mizigo na wengine wakiwa wanalisha mitaani,swali nalojiuliza je hawa punda wanaliwa? Kama hapana ni kwa nini?

Wingi wa mabinti wenye mvuto lakini wenye vijiushamba fulani fulani wakati binti kama huyu huko kwa baba keegan angeshahongwa IST wao wapo wapo tu.

Licha ya uzuri wa barabra bado majengo mengi hususani nyumba binfsi za makazi ni za kiwango cha chini mno,maendeleo pekee yapo kwenye miundombinu lakini wakazi wake hawajengi makazi mazuri angalu mji upendeze.


Baada ya mizunguko michache nikarudi lodge sasa kuisubiria siku ya kesho tayari kwa safari ya Singida to Morogoro.


Inaendelea......
Je kwa mandhari,upi mji ambao uko vizuri kati ya Singida na Mtwara,hali ya Biashara,uwezo wa mji kutoa pato ghafi kwa Taifa na mizania mingine kama Hotel/Lodge za kisasa,Attractive Destination,Recreation nk
 
Kutoka Mtwara hadi stand ya Ubungo always ni kuanzia saa 8 Mchana ndo unafika hapo....
Nahisi harakati za hapo na kila kitu wanaweza kutoka saa 9 Alasiri, SAWA

Niliwahi panda hiyohiyo Maning Nice kutoka Morogoro niliisubiri Ubungo ikafika saa 6 kasoro... hadi kutoka stand ya Mbagala ni saa 9 Kasoro Mchana, then Mtwara lazima uingie by saa 3 Usiku na Kuendelea....

Ko jamaa yuko sawa kwa kipande cha Mtwara to Morogoro
Kwa ufupi,mtoa mada hata kama anawezs kuwa na vimakosa vidogo vidogo,maelezo yake yana akisi kiasi uhalisia
 
Kwa mizania ya kiuchumi miji hii miwili bado Mtwara na Singida zina upinzani mkali lakini Mtwara itatwaa kombe kwakuwa shughuli za kiuchumi ni nyingi na zina pato kubwa kuliko zile za singida...kwa mfano.

SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI,wakati Singida in airport na barabar,mtwara ina airport,bandari na barabara.


VIWANDA,,Singida in viwanda kdhaa vya mafuta y alizeti n sabuni,viwanda vya unga wa mahindi na maji ya kunywa,Mtwara in viwanda zaidi ya vitano vya Simenti vikiongozwa na kiwanda kikubwa zaidi cha Dangote,viwanda vya korosho,ufuta na vipuri vya pikpiki achilia mbali vile vya maji ya kunywa na chumvi.

NISHATI,Mtwara inatumia umeme wa gesi zaidi na hupata umeme ht kama sehemu nyingi za nchi hazina umeme,umeme ni wa uhakika na hauktiki hovyo,kdhalika nishati ya gesi inzalishwa hapa na kuuzwa,kusafirishwa sehemu mbalimbali nchini,Singida intumia umeme toka Gridi ya taifa pamoja na vyanzo vidogo vidogo kama jua.

BIASHARA NA UCHUMI,mzunguko wa fedha Singida ni mdogo sana,wannchi wake hufunga maduka mapema saa ttu hadi nne usiku,kadhalika huchelewa kuyafungua hufunguliwa saa tatu au nne asubuhi,tofauti na Mtwara ambapo mzunguko wa fedha ni mkubwa muda wa huduma za maduka ni asubuhi mpema saa 11 hadi saa saba usiku,vilevile usafiri katikati ya mji ni bajaji na pikpiki zaidi kutokana na kukosekana kwa idadi kubwa ya wasafiri hivyo daladala hzitumiki,mtwara daladala ni nyingi na coster pia huhudumu katikati ya mji.

MANDHARI ,mtwara iko vizuri sana,Barabra za kuvutia zenye mata ingawaje wakti mwingine haziwashwi,fukwe za bahari na ile hali y kuzungukwa na maji pnde zote tatu huvutia zaidi,Hoteli nyingi za hadhi ya nyota 2 hadi 4,hoteli za kitalii,maeneo ya kihistoria kama vile Mikindani haya yanaiacha mbali sana Singida ambyo ina Hoteli kubwa ya nyota 2 ya Regency pekee,pia kuna hoteli mpya ambayo haizidi nyota 2 nimeisahau jin lake,Singida maeneo ya kuvutia ni Regency hotel na kituo cha basi misuna(mnisamehe wanyaturu)

Kadhalika makazi ya Mtwara ni ya kisasa na ya kuvutia yanyotofutisha mjini na pembezoni mwa mji,tofuti n Singida ambapo hakuna msawazo wa mji wala pembezoni kwani hata mjini kbisa nyumba duni ni nyingi sana na mjengo binafsi ya kuishi mazuri ni machche sana kulinganisha na yale ya kawaida na kienyeji.

UWEZO WA KUCHNGIA PATO LA TAIFA mtwara nitiweka juu kutokana na sababu zinazoonekana,mf bandari utrii na viwanda kama nilivyofafanua hapo juu.

ZIADA,mambo mengi sana yanaiacha Singida nyuma kwa wakazi wake kutobadilika kielimu na kimtazamo,kwa mfano English medium schools ni chache sana hzizidi nne au tano mjini na suala la School bus wanashngaa sana vilevile ni kawaida shule za bweni kutumia mtaala wa kiswahili badala ya English medium.

Je kwa mandhari,upi mji ambao uko vizuri kati ya Singida na Mtwara,hali ya Biashara,uwezo wa mji kutoa pato ghafi kwa Taifa na mizania mingine kama Hotel/Lodge za kisasa,Attractive Destination,Recreation nk
 
Mtwara kuna shabiby au umeweka picha kunogesha
 
Kwa mizania ya kiuchumi miji hii miwili bado Mtwara na Singida zina upinzani mkali lakini Mtwara itatwaa kombe kwakuwa shughuli za kiuchumi ni nyingi na zina pato kubwa kuliko zile za singida...kwa mfano.

SHUGHULI ZA USAFIRISHAJI,wakati Singida in airport na barabar,mtwara ina airport,bandari na barabara.


VIWANDA,,Singida in viwanda kdhaa vya mafuta y alizeti n sabuni,viwanda vya unga wa mahindi na maji ya kunywa,Mtwara in viwanda zaidi ya vitano vya Simenti vikiongozwa na kiwanda kikubwa zaidi cha Dangote,viwanda vya korosho,ufuta na vipuri vya pikpiki achilia mbali vile vya maji ya kunywa na chumvi.

NISHATI,Mtwara inatumia umeme wa gesi zaidi na hupata umeme ht kama sehemu nyingi za nchi hazina umeme,umeme ni wa uhakika na hauktiki hovyo,kdhalika nishati ya gesi inzalishwa hapa na kuuzwa,kusafirishwa sehemu mbalimbali nchini,Singida intumia umeme toka Gridi ya taifa pamoja na vyanzo vidogo vidogo kama jua.

BIASHARA NA UCHUMI,mzunguko wa fedha Singida ni mdogo sana,wannchi wake hufunga maduka mapema saa ttu hadi nne usiku,kadhalika huchelewa kuyafungua hufunguliwa saa tatu au nne asubuhi,tofauti na Mtwara ambapo mzunguko wa fedha ni mkubwa muda wa huduma za maduka ni asubuhi mpema saa 11 hadi saa saba usiku,vilevile usafiri katikati ya mji ni bajaji na pikpiki zaidi kutokana na kukosekana kwa idadi kubwa ya wasafiri hivyo daladala hzitumiki,mtwara daladala ni nyingi na coster pia huhudumu katikati ya mji.

MANDHARI ,mtwara iko vizuri sana,Barabra za kuvutia zenye mata ingawaje wakti mwingine haziwashwi,fukwe za bahari na ile hali y kuzungukwa na maji pnde zote tatu huvutia zaidi,Hoteli nyingi za hadhi ya nyota 2 hadi 4,hoteli za kitalii,maeneo ya kihistoria kama vile Mikindani haya yanaiacha mbali sana Singida ambyo ina Hoteli kubwa ya nyota 2 ya Regency pekee,pia kuna hoteli mpya ambayo haizidi nyota 2 nimeisahau jin lake,Singida maeneo ya kuvutia ni Regency hotel na kituo cha basi misuna(mnisamehe wanyaturu)

Kadhalika makazi ya Mtwara ni ya kisasa na ya kuvutia yanyotofutisha mjini na pembezoni mwa mji,tofuti n Singida ambapo hakuna msawazo wa mji wala pembezoni kwani hata mjini kbisa nyumba duni ni nyingi sana na mjengo binafsi ya kuishi mazuri ni machche sana kulinganisha na yale ya kawaida na kienyeji.

UWEZO WA KUCHNGIA PATO LA TAIFA mtwara nitiweka juu kutokana na sababu zinazoonekana,mf bandari utrii na viwanda kama nilivyofafanua hapo juu.

ZIADA,mambo mengi sana yanaiacha Singida nyuma kwa wakazi wake kutobadilika kielimu na kimtazamo,kwa mfano English medium schools ni chache sana hzizidi nne au tano mjini na suala la School bus wanashngaa sana vilevile ni kawaida shule za bweni kutumia mtaala wa kiswahili badala ya English medium.
Nimekusoma sana. Na kama vuguvugu la gesi lingebaki kama miaka ile ya 2013-2014, aisee tungezungumza mengine kabisa
 
hongera mkuu kwa kuchaguliwa chuo cha uhasibu singida wasalimie sana ginery mpe hi mala mala,usisahau huko kuna ngoma
 
RIP BOB nilikuwa napenda sana kusoma threads zako kwasababu ulikuwa na mtiririko mzuri sana kuhusu kusimulia jambo
 
Back
Top Bottom