Mwanao,utakua unaota wewe. Kwa nini mulipitia Bagamoyo?
By the way,wewe ni muongo.
Ukitoka Ubungo hadi ufike Bagamoyo,siyo chini ya masaa2,maana kuimaliza Mbezi,Tegeta,Bunju ni wastani wa saa 1:30!
Kutoka Bagamoyo hadi Msata ni saa 1 hadi 1:30 lingine. Utoke pale upitie Msoga hadi Mdaula huko,ni dk kama 40 au nusu saa. Kutoka hapo hadi Moro kuna saa1:30 lingine. Kwa uchache ni masaa 4 huwez kukwepa. Tunatumia hizo njia kila siku kwa magari madogo tunajua tunachokisema. Na kwa kuzingatia mabasi yote yana Ving'amuzi,ni vema ukajua speed yao huwa haizidi 90km/h tena ni 80kph,ikifika 85kph king'amuzi kinaanza kulia. Hivyo ni uongo kuwa mulitumia masaa 2:45 kutoka Dar hadi Moro,hata kama mulipita njia ya Bagamoyo,ni uongo kabisa.
Kumbuka njia pia ina mizani