VILE "visit Rwanda" inanizinguaga

mtingi1

JF-Expert Member
Mar 21, 2020
945
923
Wanabodi habari za jumamosi,

Sorry kwa lugha niliyoitumia katika title hapo juu.

Kama mada inavyojipambanua, huwa nikitazama katika vyombo vya habari vikubwa pale Uingereza, mfano BBC au skysport. Wanapokuwa wakiwahoji wanamichezo na makocha mbali mbali, huwa naona TANGAZO"VISIT RWANDA"

Siwachukii wanyarwanda, ila najiulizaga kwani Rwanda kuna kitu gani cha ajabu hata wameweza kujitangaza internationally?

Mbona hapa kwetu bongo kuna kila aina ya vivutio kwanini siioni VISIT TANZANIA? Wahusika wanafeli wapi??????

Nawasilisha.... Sabato njema
 
Dah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.

Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Dah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.

Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mkuu siwabezi Rwanda, watu wengi sana hutazama michezo, kama sisi nasi tungewekeza nguvu zetu katika kupromote utalii kupitia huko nadhani tungepiga hatua kubwa zaidi
 
Visit Tanzania!
1_utlWty968Vzt0XvEZ73P2A.jpg
 
Si nasikia pia Rwanda wameanza kuassemble simu zao!!..ukijiuliza Sana hayo Mambo mkuu utapatwa ulcers bure! Wewe fanya kazi uongeze kipato chako Basi!
Kigangwala na usomi wake anawatumia wasanii uchwara kujitangaza...!Kuna mambo yanadhi Sana ukitaka kuitafakari nchi hii
Mkuu
Acha Uchochezi 😁
Mheshimiwa Kasema Tuzaliane Elimu Bure Pia Tukiwa Wengi Uchumi Unakuwa 🤨🙄
Tanzania, Kwasasa Tutaanza Kugawa Misaada 🤗😎
Haa Maendeleo Hayana Chama
Kujitangaza Ilikuwa Mara Moja
🤩😍😍
 
Mkuu siwabezi Rwanda, watu wengi sana hutazama michezo, kama sisi nasi tungewekeza nguvu zetu katika kupromote utalii kupitia huko nadhani tungepiga hatua kubwa zaidi

Humu kuna thread ya nyuma sana kuhusu upigaji uliofanywa kipindi cha JK kuhusu kutangaza utalii kupitia Newcastle United.

Moja ya walioshiriki ni Juma Pinto, nadhani na Ikulu ilihusika pia kipindi hicho.

Na baadae alikuja akawa member wa board ya utalii.

Kwa hiyo utagundua kwamba tatizo letu ni upigaji.
 
Mkuu
Acha Uchochezi 😁
Mheshimiwa Kasema Tuzaliane Elimu Bure Pia Tukiwa Wengi Uchumi Unakuwa 🤨🙄
Tanzania, Kwasasa Tutaanza Kugawa Misaada 🤗😎
Haa Maendeleo Hayana Chama
Kujitangaza Ilikuwa Mara Moja
🤩😍😍
Hahhaah HHHAaahaahaa
HahhaHAHA

TUMETHUBUTU ,TUMEWEZA TUMETEKELEZA! Qmnn zao!
 
Humu kuna thread ya nyuma sana kuhusu upigaji uliofanywa kipindi cha JK kuhusu kutangaza utalii kupitia Newcastle United.

Moja ya walioshiriki ni Juma Pinto, nadhani na Ikulu ilihusika pia kipindi hicho.

Na baadae alikuja akawa member wa board ya utalii.

Kwa hiyo utagundua kwamba tatizo letu ni upigaji.
Ukipata nafasi JITAHIDI kuwa mzalendo....
 
Humu kuna thread ya nyuma sana kuhusu upigaji uliofanywa kipindi cha JK kuhusu kutangaza utalii kupitia Newcastle United.

Moja ya walioshiriki ni Juma Pinto, nadhani na Ikulu ilihusika pia kipindi hicho.

Na baadae alikuja akawa member wa board ya utalii.

Kwa hiyo utagundua kwamba tatizo letu ni upigaji.

Ilikua Sunderland na sio Newcastle.

Sasa hivi upigaji umebadilika tu style,jiulize kwanini Atcl imehamishiwa ofisi kuu ili tu CAG asiguse hesabu zake.
 
Back
Top Bottom