VILE "visit Rwanda" inanizinguaga

VILE "visit Rwanda" inanizinguaga

Ila Kenya Nadhani walituzidi mahali kwny marketing,kuna movie ya James Bond niliiona ya mwaka 1960's huko lkn Bond akaitaja Nairobi nikashangaa tu,Kuna Movie nyingine ya Angeline jolie tomb raider 2 naona wali-act hapo Kenya-Amboseli National Park huku wakichukua view nzuri ya Mt. Kilimanjaro na hatukulamba hata senti 1.
Hata sasa hatujachelewa.. ni kuweka mikakati madhubuti ya kujitangaza tuu...
 
Uzalendo tatizo kubwa, kama sivyo basi tuna tatizo kubwa la uelewa, kuitangaza Kenya ndani ya TANZANIA,duu!

Angalia wamarekani, hata kwenye movie zao wanaitangaza marekani hadi unatamani kufika America.

Watanzania tibadilike kwa kweli.

US wazee wa the land of opportunity/American dream,jamaa wako very proud na taifa lao kwny kila kitu kizuri kwny movie zao iwe tech/music/kushinda vita lazima uione bendera yao ikipepea.

Hivi mkuu ni kwanini huku bongo kuna sheria ya mtu binafsi hawezi kutumia bendera anavyotaka yeye?Sio kama vile wafanyavyo US wao nyumbani kwao mtu ameweka bonge la bendera nje kwake,Kwny gari kaning'iniza bendera yao tena ile kubwa kishenzi,kwny pikipiki zao fresh kabisa,inasaidia hata kua proud na taifa lako na kujiachia popote pale na bendera yako huku ukiifanyia nchi markering.
 
Kuna kipindi kuna tyimu ya EPL iliukuwa inatangaza vivutio vyetu kwenye matangazo uwanjani kwao..vipi ilichangia kuongezeka kwa watalii kiasi gani?.. Huko London pia nasikia kuna madereva taxi wanatangaza vivutio vyetu...nayo imechangia kiasi gani kuongezeka kwa watalii?
Timu gani ya EPL ishatangaza vivutio vya Tz kaka?
 
US wazee wa the land of opportunity/American dream,jamaa wako very proud na taifa lao kwny kila kitu kizuri kwny movie zao iwe tech/music/kushinda vita lazima uione bendera yao ikipepea.

Hivi mkuu ni kwanini huku bongo kuna sheria ya mtu binafsi hawezi kutumia bendera anavyotaka yeye?Sio kama vile wafanyavyo US wao nyumbani kwao mtu ameweka bonge la bendera nje kwake,Kwny gari kaning'iniza bendera yao tena ile kubwa kishenzi,kwny pikipiki zao fresh kabisa,inasaidia hata kua proud na taifa lako na kujiachia popote pale na bendera yako huku ukiifanyia nchi markering.
Wabunge mtakao shinda mwaka huu tafadhali jitahihidini kutunga sheria zitazopelekea watanzania kujivunia utanzania wao.

Lakini pia muwaweke karibu diaspora wote na kuwajali ili muweze kuwatumia katika kuitangaza TANZANIA nje ya mipaka yetu.

God bless TANZANIA
 
Sometimes wapinzani wanazinguaga kwenye mambo ya maana...
Rwanda walivyofanya vile walivyowaandama sasa humu jf na mitandao mingine.Sijui 'serikali za Africa ndo zilivyo wananchi wanateseka wenyewe wanafaidisha timu Uingereza',sijui 'PK na Magu wanaendana akili',yaani kila mtu na lake. Hawajui hapo watakachokipata Rwanda in return ni kikubwa.Watalii wao wanazidi kuongezeka na wanazidi kujulikana.
Sipati picha kwa nyuzi zile tungefanya sisi Tz ingekuwaje.Yaani hadi nimechukia siasa.
 
Rwanda walivyofanya vile walivyowaandama sasa humu jf na mitandao mingine.Sijui 'serikali za Africa ndo zilivyo wananchi wanateseka wenyewe wanafaidisha timu Uingereza',sijui 'PK na Magu wanaendana akili',yaani kila mtu na lake. Hawajui hapo watakachokipata Rwanda in return ni kikubwa.Watalii wao wanazidi kuongezeka na wanazidi kujulikana.
Sipati picha kwa nyuzi zile tungefanya sisi Tz ingekuwaje.Yaani hadi nimechukia siasa.
Mkuu investment kubwa yeyote lazima ikugharimu katika kufanya marketing. Mwisho wa siku faida yake huwa kubwa vilevile....
 
Dah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.

Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hujamwelewa mleta mada! Msingi wa hoja yake anashangaa kwa nini Rwanda wameweza kutoboza mpaka UK kwenye ligi kubwa kama ile kutangaza utalii sisi nini kimetushinda? Hajabeza vivutio walivyo navyo Rwanda. Kumsaidia tu mleta mada ni kwamba miaka ya Lazaro Nyalandu alipokuwa waziri wa utalili tuliweza kuweka tangazo letu kwenye uwanja wa Sunderland (Stadium of light), mkanda ulikuwa unapita ukiwakaribisha watalili kutembelea Tanzania kuja kujionea vivutio vingi kama Serengeti, Ngorongoro n.k Ila sasa hivi tumekwama kwa vile kwenye hiyo wizara tumeweka boga!
 
Hujamwelewa mleta mada! Msingi wa hoja yake anashangaa kwa nini Rwanda wameweza kutoboza mpaka UK kwenye ligi kubwa kama ile kutangaza utalii sisi nini kimetushinda? Hajabeza vivutio walivyo navyo Rwanda. Kumsaidia tu mleta mada ni kwamba miaka ya Lazaro Nyalandu alipokuwa waziri wa utalili tuliweza kuweka tangazo letu kwenye uwanja wa Sunderland (Stadium of light), mkanda ulikuwa unapita ukiwakaribisha watalili kutembelea Tanzania kuja kujionea vivutio vingi kama Serengeti, Ngorongoro n.k Ila sasa hivi tumekwama kwa vile kwenye hiyo wizara tumeweka boga!
Nitaendelea kuwashukuru ninyi mnaoelewa maana ya uzi huu
 
Back
Top Bottom