Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Wabhonye Wewe
Amahela Yalaheze Tanzania 😀😁😄😃
Ila mie naona hii ishu ya kujitangaza ingeanza ngazi za chini pia .! Diaspora nao wangesaidia Sana huko walipo!
Wabhonye Wewe
Amahela Yalaheze Tanzania 😀😁😄😃
Tukijitangaza zaidi tunaweza ku double idadi ya watalii wanaokuja nchini.
Ilikua Sunderland na sio Newcastle.
Sasa hivi upigaji umebadilika tu style,jiulize kwanini Atcl imehamishiwa ofisi kuu ili tu CAG asiguse hesabu zake.
Ilikua Sunderland na sio Newcastle.
Sasa hivi upigaji umebadilika tu style,jiulize kwanini Atcl imehamishiwa ofisi kuu ili tu CAG asiguse hesabu zake.
Hahah Niko MBOCHI tayari mkuu.Hahaha, kaka Tuchat.
Hahah Niko MBOCHI tayari mkuu.
Mkuu anataka na sisi tujitangaze kama Rwanda. So kama unajua platform inayotumika kuitangaza tz kiutalii abroad unaeza mpatia link na sio kumbeza.AhsanteDah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.
Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mkuu huko juu awamu hii nasikia Kuna rushwa zinafanyika unaweza kufa kwa presha..kiongozi akiwa Magu..hii nimedokezwa Jana tu..watu wapige tu wakipata chances ..hakuna Cha uzalendo Wala nn..
Sawa kabisa ulivyojibu. Tusiwabeze Rwanda kwa kujitangaza japo hawana vitu vya kuweza kulinganisha na sisi. Badala yake tujifunze kwao kwa mantiki kwamba kama hata Rwanda wanafanya, vipi sisi?Dah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.
Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Tatizo jamaa wa kule serikalini wakisikia tu neno Diaspora wenyewe wanajua ni zile type za kina Le Mutuz wanaona bora wawapotezee tu,kumbe kuna watu wa maana tu huko wangesaidia kusukuma gurudumu.Ila mie naona hii ishu ya kujitangaza ingeanza ngazi za chini pia .! Diaspora nao wangesaidia Sana huko walipo!
Tatizo jamaa wa kule serikalini wakisikia tu neno Diaspora wenyewe wanajua ni zile type za kina Le Mutuz wanaona bora wawapotezee tu,kumbe kuna watu wa maana tu huko wangesaidia kusukuma gurudumu.
Hahah yule siku akiamka mapepo yamempanda atatoa shit mpk watalii/wageni wanaomfuatilia watasema huyu 'agency wa utalii' wa Tz ni wa aina yake kwa kweli hahah.Hahhaaa...Ila hata dada wa Taifa wangemweka sawa angeweza tangaza poa tu
Hahah yule siku akiamka mapepo yamempanda atatoa shit mpk watalii/wageni wanaomfuatilia watasema huyu 'agency wa utalii' wa Tz ni wa aina yake kwa kweli hahah.
Hahah alimkomalia bashite mpk mpododo ukapungua aiseee.! Kile kichwa kiboko ya Bashite
Hahah alimkomalia bashite mpk mpododo ukapungua aiseee.