T Total
Member
- Jun 23, 2020
- 50
- 56
Anachoelekea kuumanisha naweza kuongeza point. Tanzania ina vivutio vingi vizuri vinavyo tambulika duniani. Ukianza na Mlima Kilimanjaro, Ziwa Victoria, Ziwa Tanganyika, Mbuga za Serengeti, Ruaha, Selous, Ngoro ngoro, Bahari ya indi yenye urefu wa 800km na vingine vingi. Jiulize kwanini Tunapata wageni kwenye milioni moja na - kwa mwaka, ambao ni sawa na Uganda sawa na Rwanda na sawa na Kenya wanaopata. Anachomaanisha kwa mtizamo wangu ni kuwa Rwanda ni kama hawana chochote cha maana cha kujitangaza ukilinganisha na Tanzania lakini wamewekeza kwenye kujitangaza zaidi ya Tanzania na wamefaulu kupata wageni wale wale tunaopata. Kumaanisha Rwanda itajulikana duniani kuliko Tanzania. Je ingekuwaje Tanzania ingelijitangaza vilivyo?Dah aisee sjui ulichokiandika unakielewa mwenyewe binafsi,
nimejaribu pengine ndo unachokiamaanisha, kwamba Rwanda hapaswi kujitangaza kwa sababu hawana vivutio?
Tanzania hatujitangazi kama Rwanda ili hali tuna vivutio ving nadhan ndo msingi mkubwa wa swali lako.
Kama ndo msingi mkubwa sioni kama una sababu za kuwa beza Rwanda kujitangaza, Nchi kama Nchi ina vivutio vyake na ina utaratbu wake wakujitangaza.
Kama ilivo Tanzania pia ina platform ya kutangaza vivutio vyake, pengne wewe unataka Tanzania ifanye kama inavofanya Rwanda?
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app

