naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 647
- 800
Hivi hii nchi wapi inaelekea kwa sasa, serikali itwambie hii bajeti ya vikao vya madiwani nchi nzima ya kuwawezesha na kuwaelimisha ili waende kwa wananchi kuwaeleza na kuwashawishi kuhusu mkataba wa bandari wanaitoa wapi?
Hata ivyo mimi naliwe najiuliza kunani kwenye mkataba huu hadi kufikia hatua hii ya kutawanya kodi zetu kiasi hiki?
Msaada tafadhali.
Hata ivyo mimi naliwe najiuliza kunani kwenye mkataba huu hadi kufikia hatua hii ya kutawanya kodi zetu kiasi hiki?
Msaada tafadhali.