Sema CCM haitafanikiwa na haijawah kufanikwa... chuki za mwendazake na genge lake kwa baadhi ya makabila was beyond symbolismUnajisumbua, na hautafanikiwa kwa kucheza hiyo karata ya ukabila kamanda. Treni ishaondoka huko.
Nenda hapo Kenya ukaendeleze huo ukabila wako. Achana na CCM kamanda.Sema CCM haitafanikiwa na haijawah kufanikwa... chuki za mwendazake na genge lake kwa baadhi ya makabila was beyond symbolism
Mkuu unajua nyie haya mambo huwa mnayashabikia sana yakiwa sio ya upande wenu, wakati mnaendesha kampeni za kikabila we were getting the same feelings, sasa duhwasha linawarudia mnaona sio sawa..
Angalao mkuu Nyani Ngabu kuna kipindi aliweka hisia pembeni, na pengine hapa mengi tunamuonea ila wengi wenu mlivaa viatu vya kikabila wazi wazi na kuendesha siasa za kibabe dhidi ya wale ambao walikuwa hawawaungi mkono... .. time to take your lunch Mr.
Huna hoja ndo maana unaandika hivyo vi one-liners vyako.Huna jipya mzee.
Na hadi miaka kumi iishe mtakoma na kakundi kenu ka wachunga ngombeFunga domo lako we nyumbu! Eti niliweka hisia pembeni!!
Huna uwezo wa kiakili wa kuweza kulitambua hilo.
Na uache kunitaja taja.
Wewe ndiye mkabila.
Wapinzani Wakihoji wanasema Wanavunja SHERIA IKULU ni Majengo ya SERIKALI sio ya Chama ndio maana TUNATAKA KATIBA MPYA kwa Ajili ya Mambo kama HayaNimestuka sana kusikia mh rais wangu atakutana na kamati yake ya chama ikulu ,nani huyu anamshauri haya jamani? Chama chochote kikitumia majengo ya serikali inapaswa kuwa imeyakodisha ,au serikali hukodisha kwa taasisi mbali mbali.
Ccm mali ya wana ccm tu,ikulu ni Mali ya watanzania ,mama anasema tufanye siasa za heshima tumesikia ,ila hata wiki haijaisha anamuiga mwendazake tena.
Mm sasaivi naamini kwenye hotuba yako LAKINI NAANGALIA MATENDO YAKO KAMA YA ENDANA ,ADUMU RAIS WA TAIFA LA TANZANIA MAMA SULUHU
Mama siku nyingine kafanyieni hotel au kwenye kumbi ambazo ni mali ya chama .wewe ni mwenyekiti wa ccm,kile kikao hakiwahusu watanzs
View attachment 2047956
Nyingine niMagufuli aliharibu mambo sana, hii tabia aliianza yeye
Mzilankende Mnyago Akiwa Kayanga KaragweMagufuli aliharibu mambo sana, hii tabia aliianza yeye
Dah...kwa hii reply jamaa lazima akajichimbie hatarudi kuongea chochote
Dah...kwa hii reply jamaa lazima akajichimbie hatarudi kuongea chochote
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mwisho wao u karibuNimestuka sana kusikia mh rais wangu atakutana na kamati yake ya chama ikulu ,nani huyu anamshauri haya jamani? Chama chochote kikitumia majengo ya serikali inapaswa kuwa imeyakodisha ,au serikali hukodisha kwa taasisi mbali mbali.
Ccm mali ya wana ccm tu,ikulu ni Mali ya watanzania ,mama anasema tufanye siasa za heshima tumesikia ,ila hata wiki haijaisha anamuiga mwendazake tena.
Mm sasaivi naamini kwenye hotuba yako LAKINI NAANGALIA MATENDO YAKO KAMA YA ENDANA ,ADUMU RAIS WA TAIFA LA TANZANIA MAMA SULUHU
Mama siku nyingine kafanyieni hotel au kwenye kumbi ambazo ni mali ya chama .wewe ni mwenyekiti wa ccm,kile kikao hakiwahusu watanzs
View attachment 2047956
Ikulu haipaswi kusovelewa na itikadi ya wachache vyovyote ,unaombaje mufanyia chama chako mkutano ikulu mahotel yalivyo jaa ,hivyo viti vime ununuliwa kwa sehemu na mchango wa mamilion wasio wanaccmMtu yyte anaweza kufanya mkutano ikulu. Ikulu ni ya wote. Muhimu mtume maombi ya kufanya mkutano wenu.
Kuhusu majibu waachie ikulu waamue
Umemjibu huyo kenge kwa hekima sana akikujibu ni tag .yaan kila kitu magu ..hawajamaa walikuwa wanakula bure kipi cha likweta ndo maana mabaya kwao si issue .