Vikao vinaendelea ikulu muda huu

Vikao vinaendelea ikulu muda huu

Status
Not open for further replies.
bajeti ya nchi for only a single person ? ccm stop stupidity

Mbona Unanung'unika hivyo wewe, Enh Kwani wewe unafikiri unaweza kumpata Dr. Slaa kwa shing Ngapi? au na wewe una jumla ya shilingi Sitini na sita elfu na mia tano? Ndorobwe...wacha CCM Wamsajili zaidi ya Christiano Ronaldo kwa Bei Yoyo yoyote ile Meku... Siasa ni Game.. na watu wanasomea pia...
 
Kkkkkk ama kweli watanzania au niseme JF tumekuwa watu wa ajabu sana. Wewe unaijua badget ya Tanzania ya mwaka ni ngapi na kwa nini apewe Dr SLAA, na mbona unamkebehi SLAA hivyo, umemuona Ana njaa kama MBOWE. Slaa kwa mambo ya siasa na fedha ni mtu wa principals, yeye ugonjwa wake ni wanawake na hiyo keshampata wa kuishi nae.

Huna adabu na hizi dhambi ndio zinazowatafuna kwa sasa.
 
Chama changu CCM sasa mnacheza ngoma ya UKAWA, mkubali, mkatae!

Kasi ya kumnandi mteule MAGUFULI imepungua kwa asilimia kubwa sana!
Wakati wa kumnadi Magufuli haujafika. Unawashwa na nini? Subiri wakati wa kampeni.
 
Chama changu CCM sasa mnacheza ngoma ya UKAWA, mkubali, mkatae!

Kasi ya kumnandi mteule MAGUFULI imepungua kwa asilimia kubwa sana!

Waambie ukweli mdau japo wapo waliojitoa ufahamu huku kuna watu nawajua ni ccm damu ila wamejiapiza kura yao ni kwa lowassa ili iwe funzo kwa wale wanaojiona wapo juu kuliko chama.
 
Chonde chonde Dr.Slaa usitusaliti wapinzani wenzako tumepigwa mabomu Na serikali dhalimu ya CCM tukiwa Wote tumeumizwa Na wengine kufariki tukiwa wote DHAMBI ya kutusaliti hakika hutaikwepa mungu akutie nguvu usimame imara Na Chadema yako
 
slaa ni mwanaharakati asilia,hawezi acha hii mission bila kuwa accomplished.
 
Dr. Slaa kuondoka Chadema ni kitu ambacho hakiwezekani.... Ni sawasawa na kumkuta bikra kwenye wodi ya wazazi
 
Mbona Unanung'unika hivyo wewe, Enh Kwani wewe Unashing Ngapi? Sitini na sita elfu na mia tano? Ndorobwe...wacha CCM Wamsajili Christiano Ronaldo kwa Bei Yoyo yoyote... Siasa ni Game.. na watu wanasomea pia...

hapa mombasa kuna sehemu inaitwa Mlaleo tena iko hapahapa KISAUNI sio mbali na ninapokaa,ni kama kituo cha tatu tu.halafu next time uwe unazungumza point punguza pumba
 
Last edited by a moderator:
Chadema hawawezi kukurupuka kiasi hicho wakioyafanya ni sahihi ccm walimwaga mboga wenyewe sasa ngoja Lowassa amwage ugali na kutoboa masufuria ya kupikia ccm
 
Ni kweli.

Hali hii Sio njema kwa ccm.

Nawapa pole sana.

Wamuombe radhi tuh lowasa yaishe.

Kukata tamaa katika maisha ni kumpa shetani nafasi lowasa kwa sasa hawezi geuka nyuma tena asijekuwa jiwe la chumvi safina keshaipanda imeshafungwa ndio kwaanza garika inaanza.
 
Chama changu CCM sasa mnacheza ngoma ya UKAWA, mkubali, mkatae!

Kasi ya kumnandi mteule MAGUFULI imepungua kwa asilimia kubwa sana!

Wajulishe vema wataelewa tu ila tahadhari ni kuwa wengi wanamuunga mkono Lowasa na bado hawaamini kilichotokea Dodoma. Chukua tahadhari usije laumiwa kama Nape na Makonda.
 
Wakati wa kumnadi Magufuli haujafika. Unawashwa na nini? Subiri wakati wa kampeni.

Mkuu yaani wakati wa kampeni ukifika ndio msahau kabisa kumnyanyua huo jamaa, bora mfanye saizi.... Huku kuna chopa zaidi ya 8 zote zitakuwa zinatumika at per kutoka kile pembe ya nchi na vijiji vyote, nyie mtaweza?.... Mwenye uwezo aliyebaki kwenu ni mzee wa meno ya tembo....
 
kweli mtoa mada kapotea, inamaana nae yupo kikaoni? alaf kasema tetes...Tuonge vya maana ndugu sio uzush kama huu, yan utadhan nae ni sehem ya mpango....sio fresh!!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom