mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,733
Taifa wala halipiti kwenye wakati mgumu wowote,sisiem ndo wanapita kwenye huo wakati mgumu mkuu
CCM MAJI YA SHINGO
Sasa ni wazi ccm wameamuwa kuhakikisha kuwa slaa anaondoka cdm,habari nilizozipata muda huu nikuwa jk kaitisha mkutano wa dharura muda huu kujadili namna ya kujinasuwa na upinzani unaonekana kuwa tishio kwa magufuli.habari zaid zinasema imeamriwa hata itumike hata bajeti nzima ya nchi ili dr slaa apewe ili mradi aitose chadema,dr anapita kwenye majaribu makubwa sna muda hu
Ni kweli.
Hali hii Sio njema kwa ccm.
Nawapa pole sana.
Wamuombe radhi tuh lowasa yaishe.
Na uu mchezo si wa kitoto mana hadi magufuli amesahaulika tayariChama changu CCM sasa mnacheza ngoma ya UKAWA, mkubali, mkatae!
Kasi ya kumnandi mteule MAGUFULI imepungua kwa asilimia kubwa sana!
Think twice b4 you comment to this comment!