vijimambo vya vyoo vya master bedroom

vijimambo vya vyoo vya master bedroom

Maji ya shida bana eeeh miamala 5-6 ndio choo kinaflashiwa

khaaaaaa!!!! bora kukuwekea choo cha shimo na hapo mtu akihaja pembeni tena atakuwa katumwa na kalumanzila looh
 
MKATA KIU hii ipo mimi nimeshawahi lishudia,ni mshikaji wangu na nilpomuuliza reason akasema ni sehemu ya mapenzi inachochea penzi kunoga.

loooh balaa hili sasa inamaana huyo mpenz wake penzi lake linachochewa na kuflash haja ya mumewe.....!!!! heheheheheheheeeee
 
kumbe ndo maana unakuta ofsi kubwa tu mivyoo michafuu na kuna wasomi
kumbe ni hawa waume za watu,wamezoea wake zao wawatawazishe,kama vip waje nao basi maofsni
 
Mume wa hivyo unamuachia choo cha bedroom anatumia mwenyewe. Wewe unatumia cha public. Akikuta puu yake imekaukia siku mbili, ukisafisha hatokaa achafue.

Kwani si tunaambiwa mwanaume kama mtoto? Mlelee lakini mfundishie in a hard way, atajifunza tu!

hii mijanaume mnaiendekeza sana ndo maana inakunya haiflashi..... Kama mwanaume ni sawa na mtoto mbona hanyi kwenye chupi au suruwali au boxer..... Huyo mwanaume ni mchafu yena dizaini hizo ndo wale ambao viatu anaanza kuvulia sitting room...soksi dining.... shati jikoni ...suruali inavuliwa kwenye korido .... Vesti chumbani....

Wanawake mna kazi.......
 
Namwambia mwenyewe bila kuuma uma maneno lolz.. But I will do that in a lovely way kumtunzia heshima yake.

Akirudia tena .. Siku ingine namwita aje kushuhudia na kuondoa peke yake huo uchafu.

If the problem persist basi si bure kuna sharti la mganga hapo lolz.

Though I don't believe this.. Nafikiri nikuflash bila kuhakiki kama kila kitu kiko powa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mwanaume ukimwendekeza atakunyea kiganjani!
Dawa yao hawa - mchunguze sana kabla hajakuoa.Ndivyo nnlivyofanya miye.
 
hii mijanaume mnaiendekeza sana ndo maana inakunya haiflashi..... Kama mwanaume ni sawa na mtoto mbona hanyi kwenye chupi au suruwali au boxer..... Huyo mwanaume ni mchafu yena dizaini hizo ndo wale ambao viatu anaanza kuvulia sitting room...soksi dining.... shati jikoni ...suruali inavuliwa kwenye korido .... Vesti chumbani....

Wanawake mna kazi.......

hahahahahahaaaaaaaa hapo nilipoweka red colour umenichekesha saanaaaaaaa
 
Huyo ni mchafu mbaya hataki badilika
Mfano yule aliyelazwa mwezi yaani jamaa
karundika mikojo & mavi unadhani hapo
kuna Master

Lazima itakuwa ni jalala/septic tank
kwa harufu pia jamaa ana roho ngumu
Yeye nadhani akishusha mzigo makalihaoshi kbs
Najua vema ukiosha makalio cha kinakushindaje
 
hahahahahaaaaa kumuachia
choo ya master hiko chumba si kitanuka uvundo looh mie siwezi ntasafisha
tuu labda na kumueleza ukweli kwamba ningefurahi angekuwa anaflash haja
yake. Vinginevyo atachafua hiko cha master ikifika hatua hakiingiliki
tena na yeye anahamia cha public jamani hahahahahaaaaaa. Minafikiri
kumuambia kwa upole na upendo itafaa ila si kwa kebehi au dharau waweza
kula kipondo na bado asiflash tena akafanya mama nanihii njoo hapa
simamahapo na usizibe pua, yaani uwe umesimama akiwa anajisaidia na
akimaliza umnawishe kisha uflash kisa tu akukomoe nashukuru mie sina
hiyo master maana mmmh

Hah! Huu nao ndio mfumo nini?
 
maisha ya ndoa ni makubaliano yenu.kuna wake wengine hawa mind kabisa kusafisha choo,kama mume kachafua,atasafisha.ila ki ukweli mwanaume ufanye haja yako,ushindwe hata ku flush jamani?huo ni uvivu na uchafu.hata kama mke ana safisha basi wewe flash choo,baada ya kutumia.mwanamme ambae ni mvivu wa ku flush nina amini na boxer zake huwa chafu.mimi kwa upande wangu katika sehemu ambazo napenda ziwe safi ni choo na jiko.
 
Mmh, ni kumfundisha tu

Kidogo kidogo anaelewa, watu tumetoka kwenye background tofauti sana

Mume wa hivyo unamuachia choo cha bedroom anatumia mwenyewe. Wewe unatumia cha public. Akikuta puu yake imekaukia siku mbili, ukisafisha hatokaa achafue.

Kwani si tunaambiwa mwanaume kama mtoto? Mlelee lakini mfundishie in a hard way, atajifunza tu!
 
Huo ni uchafu na kumtafutia mwenzako sababu ya kutapika.lol!
Mababa wote wenye tabia hii ni wachafu na wanyanyasaji, kisa cha kumnyanyasa partner akione chumba kama kituo cha polisi, Huyo wakutosafisha mwezi, ndio ukute linakunywa pombe mh hilo kojo lake linavyonuka si balaa hii, wanajutaje wake zao!
 
Can this happen?.

inatokea sana tu, mi mwenyewe sijawahi kuimagine kitu km hicho lkn nilipoolewa nilikuta mr wng ana tabia hiyo, kusema kweli nilikuwa naboreka sana, mwanzoni nilikuwa nasafisha sisemi, lkn badae nikamwambia, ht hivyo akawa bado anajisahau... siku moja aliacha uchafu wake nilipoukuta nikamuita kutoka siting room alipokuwa amekaa nikamuomba aflash uchafu wake, alitahayari akaflash, kuanzia siku hiyo adabu tele..
 
Habari zenu wana MMU,
Naombeni niwasimulie kisa hiki nilichokisikia live..................

.............baada ya kuona mazungumzo yanaendelea nikawa nimeshikilia kitabu tuu huku nikiwasikiliza kwa makini na kufuatilia maongezi yao. Walikuwa wadada wawili wa makamu ya 25-28 wakiongea(kwa maongezi yao na pete vidoleni, wanaonesha wameolewa). Mdada mmoja ndie alikuwa akilalamika kuwa anakerwa na tabia ya mumewe kutosafisha choo mara baada ya kukitumia choo chao cha master bed room. Kwa maelezo yake wakati wako wachumba akienda kwa mchumbawake anakuta toilet safi ila tangu waoane usafi wa nyumba yao nzima ni yeye mwanamke pamoja na usafi wa master room yao. Sasa akagundua tabia aliyoianzisha mumewe ya kujisaidia bila kuflash wakati choo ni cha kuflash na maji yapo muda wote, kiufupi akitoka bafuni au chooni basi ujue hadi usafishe ndo panafaa kutumika tena.
Sasa akawa anajiuliza inamaana mumewe anafurahia hali ya uchafu? anajiuliza je mumewe akiwa anataka kujisaidia na kukuta choo kichafu atachukuliaje? Kwa kadiri ya maongezi yao hajamwambia mumewe juu ya kinachomkera kwani hataki mumewe afanye usafi au wapangiane zamu ila anataka atleast awe anaflash tuu kila baada ya kujisaidia haja zote. Mdada mwenzie akamwambia mmmh ndo umvumilie mumeo ndo kwanza mna mwaka mmoja wa ndoa.

Nilijikuta nimewasikiliza maongezi yao huku nikigelesha kusoma kitabu nikakumbuka tena hapa job kuna dada mmoja alishanisimulia kisa cha ndoa moja anayoifaham tena hata harusi yake alihudhuria hiyo ndoa ilibaki almanusura ivunjike. Kisa ilikuwa hii hii choo cha master, mke aliumwa akalazwa hospitali mwezi mzima kumbe huku nyuma mumewe alikuwa akiingia chooni haflash, mkewe aliporuhusiwa na kukuta hali ile akagoma kukisafisha na akakifunga kisitumike ikabidi wahamie choo cha public kwenye nyumba yao kwani hicho kilikuwa kinasafishwa na house girl. Nilishangaa mno sasa niliposkia haya mazungumzo jana ninasema inamana hili ni tatizo na nikajiuliza kwani wanaume waliooa hawawezi kuflash baada ya kujisaidia ilhali maji yapo basi haja ashushe mwanaume ila kuflash choo aje aflash mkewe?

Mie na kwangu tangu nimeolewa miaka 14 iliyopita tunakaa kajumba ketu kadogo vyumba viwili choo kimoja hamna master na usafi nasimamia mwenyewe wala sijawahi pata hii kadhaa. Nauliza tuu wanajamvi pengine kunawanajamvi wanapitia tatizo kama hili je ni sawa kuflash ukimaliza haja zako flash uziache kwa anayekuja aone mmeng'enyo wa vyakula ulioushusha?

Ungemshauri ampeleke hospitali akapime uwezo wa akili yake kwani binadamu wote ni vichaa ila anaezidiwa ndio anaonekana, huyu mumewe tayari amezidiwa amtibu mapema la sivyo kuna siku atakuta kimbi mezani sebuleni.
 
Back
Top Bottom