vijimambo vya vyoo vya master bedroom

vijimambo vya vyoo vya master bedroom

Huo ni uchafu na kumtafutia mwenzako sababu ya kutapika.lol!
Mababa wote wenye tabia hii ni wachafu na wanyanyasaji, kisa cha kumnyanyasa partner akione chumba kama kituo cha polisi, Huyo wakutosafisha mwezi, ndio ukute linakunywa pombe mh hilo kojo lake linavyonuka si balaa hii, wanajutaje wake zao!

Hili ni kwa wote NATA hujawahi kuyakuta kwenye vyoo vyenu? i.e vile vya jinsia moja......Tabia ni tabia hata akiifanya Raisi haitageuka kuwa sio tabia.
 
maisha ya ndoa ni makubaliano yenu.kuna wake wengine hawa mind kabisa kusafisha choo,kama mume kachafua,atasafisha.ila ki ukweli mwanaume ufanye haja yako,ushindwe hata ku flush jamani?huo ni uvivu na uchafu.hata kama mke ana safisha basi wewe flash choo,baada ya kutumia.mwanamme ambae ni mvivu wa ku flush nina amini na boxer zake huwa chafu.mimi kwa upande wangu katika sehemu ambazo napenda ziwe safi ni choo na jiko.

hapo kwenye red hapo ndo usafi wa nyumba ulipo na utajua kama nyumba ina mwanamke au laa
 
Mwanaume ukimwendekeza atakunyea kiganjani!
Dawa yao hawa - mchunguze sana kabla hajakuoa.Ndivyo nnlivyofanya miye.

Ikishafika saa 11 jioni una saa moja siku kuisha utakumbuka kuchunguza haya yote?
 
Mmh, ni kumfundisha tu

Kidogo kidogo anaelewa, watu tumetoka kwenye background tofauti sana

hapo kwenye red ni muhimu kuzingatia, ndo hapo uvumilivu unatakiwa, kumchukulia mtu alivyo na kumkubali kama sehemu ya maisha yake kama ikishindikana kumuelekeza au kumfundisha. Sasa uwe na kipaji cha ualimu tena wa chekechea sio uwe lucture unayefundisha bila notsi wala mifano.
 
Sasa ukutane na mie, nimekulia Sangabuye, hatukuwa na choo ni mwendo wa kukata gogo porini afu unaji-'shenena chini'

Unaniambia nikisaidia haja ndogo ni-flush? si nitakushangaa? Ila ukinifundisha taratibu nitaelewa tu, kuwa mkojo unaleta harufu mbaya chumbani.

hapo kwenye red ni muhimu kuzingatia, ndo hapo uvumilivu unatakiwa, kumchukulia mtu alivyo na kumkubali kama sehemu ya maisha yake kama ikishindikana kumuelekeza au kumfundisha. Sasa uwe na kipaji cha ualimu tena wa chekechea sio uwe lucture unayefundisha bila notsi wala mifano.
 
Mbona hainiingii akilini? Ina maana jamaa hata kuoga ni ishu sasa! nilisikia huko majuu kuna aina ya vyoo usipoflashi mlango haufunguki. Labda itakuwa solution vikiletwa na huku.
 
Mbona hainiingii akilini? Ina maana jamaa hata kuoga ni ishu sasa! nilisikia huko majuu kuna aina ya vyoo usipoflashi mlango haufunguki. Labda itakuwa solution vikiletwa na huku.

hahahahahaaaaa hivyo vingewekwa kwenye vyoo vya public kwanza na vile vya mahotelini au kwenye malls, wasingekuwa na gharama ya kuajiri wafanyakazi wa kufanya usafi vyooni, maaana usiposafisha hutoki.
 
Wana Jamvi yaani naomba kuongezea, maana hili limenigusa na sielewi. Mimi hapa Ofisini kwangu tuna choo cha girls na boys, yaani wafanya usafi always huwa wana lalamika kwa choo cha boys yaani WANAUME, kuna siku wakiingia hatupiti kwenye corridor. Hata hawa wakushusha mizigo yao hawa-flash. Juzi hapa tumeamua kufunga choo yao na kuficha ufunguo, loo walivyo na tabia mbaya wameleta fundi kuvunja na kuweka funguo nyingine na sisi tumesema wao wakivunja, sisi tunatafuta mbinu za kuficha ufunguo. Haya waenye maelezo watueleze juu ya hawa Wababa. Kalekwa
 
Hili ni kwa wote NATA hujawahi kuyakuta kwenye vyoo vyenu? i.e vile vya jinsia moja......Tabia ni tabia hata akiifanya Raisi haitageuka kuwa sio tabia.
Unaweza ukaikuta kwenye choo sasa hii ni mara moja lbda kwa muuuda, but hii ya mtu ndio tabia yake na ndio unaishi naye 7 days a week, 12 months a year x miaka utakayoishi naye mh! si unyanyasaji wa kisaikologia huu !
 
Ah nyie watu mmenikumbusha mbali sana.............. Pale mtu alipojua kabisa kuwa choo kimeziba akenda kuachia mitunguri yake humo. Na hapo sio cha master wala nn! Eh................. jamani usafi wa mahali hapo ni jukumu la kila mtu
 
hahahahahahaaaaaaaa hapo nilipoweka red colour umenichekesha saanaaaaaaa

Hahahha naona wewe hujacheka aisee kuna watu vichwa vimepinda aisee....... nahisi huyu ukimfanyia ya kufanya utakoma mwenyewe atakuumbuaje sasa? Nimecheka sana aisee

Ni kweli kuna wengine huwa tunawaendekeza tu. Anaanza siku ya kwanza anakupima we unakuja unaflash, anazoea!! Asa kama alipokuwa Bachelor alikuwa anaflash kinachomshinda sasa hivi ni nini? Wanaume wengine bwana!!
 
ni kweli kabisa ukiwaza mie nikikuta choo kimeachwa kichafu ntajiskiaje lazima ukimaliza haja yako unasafisha ili wakati ujao ukute mazingira safi. Haja ni starehe mahala pakiwa safi, utakuta hata maofisini au vyoo vya mahoteli mtu akimaliza haja anaacha wazi kilakitu hajui hata kusafisha looh, kweli ustaarabu kitu cha bure.
Umenifurahisha sana kwa mada zako za leo mm nakaa third class (yaani nyumba yangu nimeweka wapangaji) na nikikuta mtu kaflash vibaya namalizia

Swali kwenu nyie wa Masterbedroom mnaojisaidia ndani
kumbe mnaangalia choo kusafishwa na kuflashiwa bado mnatumia Toilet paper? na mmalizapo mnatoka


Sharti kwa Mke wangu ni kujiswafi na maji iwe haja ndogo au kubwa hii ndo usafi kwani atakumbuka hata kuflash
 
Huyo ni mchafi original kabisa na hakuanzia kwenye ndoa ndivyo alivyo! Hii ni aibu sana hata kuandika!
 
Umenifurahisha sana kwa mada zako za leo mm nakaa third class (yaani nyumba yangu nimeweka wapangaji) na nikikuta mtu kaflash vibaya namalizia

Swali kwenu nyie wa Masterbedroom mnaojisaidia ndani
kumbe mnaangalia choo kusafishwa na kuflashiwa bado mnatumia Toilet paper? na mmalizapo mnatoka


Sharti kwa Mke wangu ni kujiswafi na maji iwe haja ndogo au kubwa hii ndo usafi kwani atakumbuka hata kuflash

Halafu aiasee kuna kale katabia kakutapanya maji chini..unakuta mtu kajitawadha na kumwaga maji chepechepe vyoo vya kukaa. Si uweke choo cha kuchuchumaa basi? khaaa!
 
Umenifurahisha sana kwa mada zako za leo mm nakaa third class (yaani nyumba yangu nimeweka wapangaji) na nikikuta mtu kaflash vibaya namalizia

Swali kwenu nyie wa Masterbedroom mnaojisaidia ndani
kumbe mnaangalia choo kusafishwa na kuflashiwa bado mnatumia Toilet paper? na mmalizapo mnatoka


Sharti kwa Mke wangu ni kujiswafi na maji iwe haja ndogo au kubwa hii ndo usafi kwani atakumbuka hata kuflash
Ukwaju hapo kwenye blue sijakuelewa unamaanisha unatumia choo cha nje ya nyumba kabisa au cha ndani ya nyumba ila ni public na watu wengine?
sijui kwa wengine ila mie toilet paper haimo kwenye budget zangu ni mwendo wa maji bwelele hata watoto wangu wanajua kutumia maji na wakitoka shuri kunawa kwa maji na sabuni. Unajua huu ustaarabu wa toilet paper au tissue kunamtu zilimnasia huko mahali bana sjui alikuwa na haraka ye anajua kamaliza kufuta kumbe kunakipande kimenasa na uchafu umebaakia kaenda kuaibika kwenye swimming pool watu wanashangaa kipisi cha tp kinaelea pembeni yake na mua huo alikuwa ameaga kwenda toilet.
Tissue hizi za kushikia snacks au zile wanazoweka bar kwenye glass kwa majumbani mie sizipendi maana ndo mwanzo wa watoto kuitokunawa mikono kwa kula kwa kujishikilizia na tissue eti hata kama mikono michafu tissue inakulinda weeeh mwanzo wa kipindupindu, maji yapo ni full kunawa na maji from chooni hadi mezani.
 
Last edited by a moderator:
Hii tabia ya kutosafisha choo sio tu majumbani, hata maofisini. Mtajikuta mpo mastaff wachache amzidi kumi wate kichawani shule ipo. Unaweza kwenda chooni unakuta msomi kaacha mzigo wa kilo moja bila kuflashi.
 
Back
Top Bottom