Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya
Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
🤣🤣 Kwamba ni lazima ashinde sio?Eti uje kuwaambia hawa kura za Ni Yeye 2020 hazikutosha. Uwaeleze Kilatin labda watakuelewa.
Hapa ange malizia na chopa sass..
Makundi mengi yameumia na huu utawala nyomi anazopata lisu ni zaidi ya lowasa lisu anatumia gari anatumia mitubwi kuonana na wananchi wengi zaidi piaLowasa alikua anajaza zaidi ya Lisu, shida ni kwamba wengi wanaokwenda kwenye mikutano hiyo ni vijana halafu hawajajiandikisha kupiga kura, bwana mkubwa badala ya kutanga tanga huko duniani angerudi kuhamasisha vijana wajiandikishe kupiga kula, huu ndio ukweli ukubali au ukatae
Tulipeleka convoy nzima ikapige kura kule kisiwani tukasahau kufunga na kulinda mlango wa nyuma....Ishu ya Mtwara ndo itamchanganya kabisa...Huku Lissu, kule Mtwara..lazima adate
LEJEA ...Huna Akili Kama BAVICHA wenzio Magufuli hajawa Mhofia wala kumwogopa Kibaraka Lissu Lejea MIGA
CCM inaongozwa na majuha kweri kweri!!Walikuwa wakijipa moyo eti Lissu anajulikana mjini tu
Ccm mtaji wao ilikuwa ni ujinga!! na wajinga wamepungua mnu!! sasa anguko lake limeshafika!!
168Jumla walikua wangapi??
CCM inaongozwa na majuha kweri kweri!!Walikuwa wakijipa moyo eti Lissu anajulikana mjini tu
Kuna msemo wa kithungu unaosema,"NUMBER NEVER LIES".Kwa lugha yetu inayodaiwa kudumishwa na Jiwe: NAMBA HUWA HAZISEMI UONGO!!Tegemeo lao vijijini hawana chao njaa kali.
Ukisomesha watu namba ni lzm nao wakusomeshe namba
Wajumbe fomulaTegemeo lao vijijini hawana chao njaa kali.
Ukisomesha watu namba ni lzm nao wakusomeshe namba
Mambo ya Kitaya😅😅Ishu ya Mtwara ndo itamchanganya kabisa...Huku Lissu, kule Mtwara..lazima adate
Hehehe umetishaaa
Inathibitisha matokeo ya ule utafiti wa TWAWEZA kuwa CCM inapendwa zaidi na WATU WAJINGA. Huyo anashindwa hata kujua kuwa 2 + 1 + 1 = 4, na siyo 2!Wamepita wanafunzi 2:
2 wanampenda Magufuli
1 anampenda Lissu
1 alikaa kimya
Hivi ninyi CCM mna akili za wapi? Huoni kuwa ... basi tu nikae kimya
uliona Lisu alivyofika CHato hakuthubutu kabisa kuuongelea.SEhemu zote alizopita usukumani kaanza kuogopa kuuongelea akiugusa tu anaqzomewa na watuUle uwanja wa ndege Chato sasa hivi hataki hata kuusikia umemcost kisiasa big time.