Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Kampeni au tuseme mikutano ya Lissu inathibitisha hilo na mimi binafsi nimeliona hilo na hata leo Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika ameongelea swala hili katika hii tweet yake hapa chini:
Vijijini mwamko ni mkubwa mno....mijini ndiyo kabisa.
Tunashukuru sana kila mtanzania anayejitokeza kuja kusikiliza wagombea wetu kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Huu ni ujumbe siasa ni maisha...ujumbe tunahitaji kuwa na fursa ya kuzungumza na wananchi.
*Kata ya Ruhembe
Vijijini mwamko ni mkubwa mno....mijini ndiyo kabisa.
Tunashukuru sana kila mtanzania anayejitokeza kuja kusikiliza wagombea wetu kuanzia Urais, Ubunge na Udiwani.
Huu ni ujumbe siasa ni maisha...ujumbe tunahitaji kuwa na fursa ya kuzungumza na wananchi.
*Kata ya Ruhembe