Yote ni perceptions tu. No offense lakini mtoa mada kwa mazingira yake yanayomzunguka & perhaps kwa tafiti zake ameona kutooa kuna faida nyingi na hasara chache.
Na upande wa pili, OP wanaona kuoa/kuolewa Kuna faida nyingi kuliko hasara.
If it works out for you, there's no guarantee it will work out for someone else.
Kuna waliooa wakafanikiwa zaidi ukilinganisha na walivyokua awali and vice versa.
Na pia kuna walioamini bila kuoa watafanikiwa zaidi & now unakuta it's almost too late na hawajafanikiwa kama walivyotarajia.
Ni kosa kusema watu (wengi) without actual facts kwamba wamefanikiwa kwa kuoa/kutokuoa maana hizo ni propaganda tu, na siku zote "muwamba ngoma, huvutia kwake"
Sent using
Jamii Forums mobile app