Vijana waliooa wanakwaza sana

Vijana waliooa wanakwaza sana

Sasa madam kweli hapo nyumbani ulete juice halafu uweke kwenye fridge.
Then ukienda kazini watoto wainywe then ukirudi job uanze kuwachapa ""nani kanywa juice yangu?"'

Kweli hii haki?

Vitamu ficha mbali, maana kila mwenye hamu HUVITANANI.

#YNWA
hapa umeniacha njia panda kw kweli
 
hapa umeniacha njia panda kw kweli
Yaani "uoe mke mzuri halafu ulalamike kugongewa" yaani ulete juice Tamu home halafu ulalamike watoto kunywa..!!!

Braza kasema yeye anataka madogo waoe ili wasimpitie mkewe, sasa ushauri ni kwamba "aoe flat screen"

#YNWA
 
Likizo yangu ya mwaka huu ilifika. Nikaona likizo hii nikai-spend home (Dar es Salaam) kule nilikokulia (kwa shangazi).

Sasa bwana kwenye hii likizo kuna jambo linatokea halafu linanikera sana tena hasa.
Bro wanaokutaka uoe hawakutakii mema ya nchi, unamuweka mtu kwako Kisha anaanza kupangua mafaili yako anakupangia Muda wa kurudi nyumbani kwako,.. just imagine mke anaweza kukujaza upepo shangazi yako wizard!.

Muda wote macho yake kwenye Simu yako unapangiwa hata wa kuwasiliana nae, Hawa jamaa wanatupuna hela kuliko michepuko...

Kama inawezekana we piga copy mbili tatu kitaa mambo ya kuoa waachie wenye akili kuliko wewe.
 
Sahihi kabisa, Kilicho mkera KENZY ni swala la yeye KUOA kuwa ajenda,, amesema kila wanapokutana kifamilia ajenda ni yeye kuoa..

Hili kweli linakera,,ukiona mtu unamueleza jambo hilo hilo mara kibao na haelewi lazima ukasirike.

InShort: Naunga mkono hoja, Kuoa sio kipaumbele kwa kila mtu na hakuna sheria ya kulazimisha mtu,, kila mtu ana timeline yake katika mipango yake... Kuoa ni swala personal sana.

Acha tupambane na Ujinga, Maradhi na Umasikini.
Mh! Mkuu hebu angalia vizuri uliemtag na alieanzisha uzi..😀
 
Yaani "uoe mke mzuri halafu ulalamike kugongewa" yaani ulete juice Tamu home halafu ulalamike watoto kunywa..!!!

Braza kasema yeye anataka madogo waoe ili wasimpitie mkewe, sasa ushauri ni kwamba "aoe flat screen"

#YNWA
Kama mimi
 
Nakazia!

Kuna walio oa wakiwa hawana kitu waka fanikiwa mfano kina Baraka Obama.

Kuna walio kuwa wamefanikiwa kiuchumi baada ya kuoa waka poromoka mfano kwenye jamii tuna ishi nao

Kuna walio kuwa vizuri kiuchumi na wameoa baada ya kuona mambo yao haya endi vizuri waka amua kupiga chini maswala ya ndoa hapo ndo anazungumzia kina Dangote,bezos,bill gate,Diamond n.k


Kuna walio ishi maisha yao na uchumi haukuwa mbayaa mfano kina Ruge

Maisha ni kuchagua Kutokana na research uliyo ifanya wewe binafsi.
Kuoa ni lazima, acheni kudanganyana.
 
Ngiri mwengine huyu hapa...

Kwani bro tukikutana tukaongelea michongo "huo utoto" hautokua?

Na kwanini mkishauliza kuoa huwa hamna maswali mengine?

Niulize mbona juzi ulipost mahindi we ni mkulima? Hapohapo niambie "Kuna mwarabu anataka gunia 100 vipi unazo?"

#YNWA
We jamaaaa una akili kubwa mno
 
wanaotaka kuolewa ni wengi, na wanaotakiwa kuoa hawataki kuoa, na wanawake wanazidi kuongezeka kila kukicha, ukizingatia idadi ya wanaume ni chache sana.

Na kwenye hio idadi chache ya wanaume, toa mapunga, toa wasio taka kuoa, toa waume za watu, tukiwatoa na vibamia ndo kwishe kabisa.

Kwa hali hiyo, wanawake mtaolewa na nani? Wanawake nawaonea huruma kazi mnayo, pambaneni na hali zenu.

Naunga mkono hoja ya mleta mada.
Wanaume wanaokwepa kuoa wana matatizo au ni wavivu wanataka kulelewa.
 
Ndoa ni ajira kwa mwanamke.
Ni mwamvuli wa kufunika uharamu wa watoto anaozaa na michepuko, yaani ana uhakika wa Baba jina...Baba wa mbegu atawapata baadae.
Tofauti na mwanaume, Ke anahitaji ndoa ili kustabilize emotions zake.
Hatutakubali upotoshaji wenu, ndoa ni muhimu kwa kila mwandamu.
 
Anaekupenda atakushauri njia impendezayo Mungu.

Kwenye ndoa kuna mazuri na matam sana. Tusizoee kuangalia tu the negative side kisa ndoa nyingi hazidumu.

Wewe kamata ka Karucee kako kadogo dogo kaweke ndani sema mie sitafeli katika hili.

All the best LVP.
 
Sasa mwanaume unachukia kuulizwa utaoa lini ...? Basi tuanze kukuuliza utaolewa lini.....?

Maana kumjibu tu mtu kuwa "Sorry bro bado najipanga " utakufa ....?
 
Sasa mwanaume unachukia kuulizwa utaoa lini ...? Basi tuanze kukuuliza utaolewa lini.....?


Maana kumjibu tu mtu kuwa "Sorry bro bado najipanga " utakufa ....?
Kwani usipouliza utakufa?

Yanini kufuatilia maisha ya mtu?
 
Ujinga ni kuamini huyu jamaa hajaoa au hana mke kumbe ana mke na watoto na wana enjoy ndoa ila hapa jukwaani anajifanya mwenyekiti wa wasioa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom