witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,749
HahahahahaAnakuonea wivu upo single una-enjoy maisha. Anataka ujichanganye uteseke kama yeye.
HahahahahaAnakuonea wivu upo single una-enjoy maisha. Anataka ujichanganye uteseke kama yeye.
Mwacheni atafute pesa jua litapo zama bila kuziona ndo atajua hajuiau ana tatizo na nguvu za kiume, haisimami
![]()
Huenda anatafuta bwana kwa nguvu maana kazi yake kupondea wanawake yaweza kuwa tunashea nae wanaume huyuNa wewe punguza mambo ya kiwaki, huoni unaboa unapoanzisha thread za aina moja kila siku?
Huenda anatafuta bwana kwa nguvu maana kazi yake kupondea wanawake yaweza kuwa tunashea nae wanaume huyu
Kuoa kwao kunakuumiza Sana, unataka wakuoe wewe?Wapi nimeponda madam?
Nimeongea na walioa waache upimbi, WANAWAKE WANAOA?
#YNWA
Unadhani BENZOS, BILL GATE, DANGOTE na Tajiri wa India (mwenye kampuni ya magari ya Tata) wanalijua hili?Mwacheni atafute pesa jua litapo zama bila kuziona ndo atajua hajui
Hujambo mkuu?Nataka nilete posa mwenyewe.Na wewe punguza mambo ya kiwaki, huoni unaboa unapoanzisha thread za aina moja kila siku?
NakaziaNa wewe punguza mambo ya kiwaki, huoni unaboa unapoanzisha thread za aina moja kila siku?
Umehama Tena mada.Kuoa kwao kunakuumiza Sana, unataka wakuoe wewe?
Usijali bro TUKO VIZURI.Tuna hofu na madogo zetu maana dunia imeharibika...
Ukiweza kununua maziwa kwa bei yoyotee nadhani hakuna haja ya kufuga ng'ombe.kijana umri unaruhusu kipato kinaruhusu halafu huon nn shida...
Tunawapelekea sanaaa motooo.hofu yetu msije mkawa mnaliwa
Kama utazipata kama za hao uliowata sawa.Unadhani BENZOS, BILL GATE, DANGOTE na Tajiri wa India (mwenye kampuni ya magari ya Tata) wanalijua hili?
NB:- wotee HAWAJAOA.
Kuna wale wazee ambao wake zao wamekufa uzeeni, hadi sasa NAO WANAJUA HAWAJUI ?
Braza acha kutegemea mtu, furaha yako I ndani yako.
#YNWA
Ajenda imekosa nguvu mana yuko pekee.Hongera kwa kupush agenda maana si kwa kukazia huko.