Baraka sheni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2015
- 470
- 193
Habarini wapendwa nina wazo kwa wale vijana wenye nia ya kuthubutu na wenye mawazo au biashara au wamejiajiri tukutane na tuunde kikundi.
Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri.
Yawezekana kila mtu akawa na biashara yake au ya pamoja ila kama kila mwanakikundi atakuwa na biashara yake itabidi awe na wadhamini ambao watarejesha hela pale atakapo shindwa kurejesha.
Binafsi licha ya taaluma nilizokuwa nazo pia ni mbunifu na mtengenezaji wa viatu vya kimasai na mikoba.
Karibuni tuchangie mawazo
Lengo la kikundi kwenda kupata Mkopo wa Halmashauri.
Yawezekana kila mtu akawa na biashara yake au ya pamoja ila kama kila mwanakikundi atakuwa na biashara yake itabidi awe na wadhamini ambao watarejesha hela pale atakapo shindwa kurejesha.
Binafsi licha ya taaluma nilizokuwa nazo pia ni mbunifu na mtengenezaji wa viatu vya kimasai na mikoba.
Karibuni tuchangie mawazo