Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January , kwa sasa tunatimiza miaka 40 na na wale wa mwishoni 86 🤔
Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia , kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo , ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔
Kwa ,uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35
😂😂😂😂mimi siziogopi bhana ila zije kwenye umri husika kama miaka 50 hivi.Huwa mnaziogopa?? Mnataka kurudi utotoni? Aiseee
Maalim mimi mwisilam silagi vyakula vya kikafiriWeka namba yako ya redio kolu nikutumie mapanki maalim.
Nyie wazee si ndio mlikua mnapewa shanga na vijiko na wakoloni,halafu wao mnawapa dhahabu na almasi.Ndio nchi nyingi za kiafrika zimepata uhuru, bila sisi mngekuwa watumwa mpaka leo.
Hata sielewi. Mama yangu akiwa na miaka 30 katuzaa wote tayari na nilikuwa namuona ni bonge la jimama😂😂😂😂eti sasa hivi na mimi ndio nipo huko huko😂😘😂Hahaha sijui hii imekaaje
😂😂😂 najiaminiii..Never say never ohooooo😂😂😂😂.
Hapana, hao ni vijana wa miaka 18900 amabao ubongo wao ulikuwa hauna tofauti sana na wazinjanthropus.Nyie wazee si ndio mlikua mnapewa shanga na vijiko na wakoloni,halafu wao mnawapa dhahabu na almasi.
Mkuu naona unatupa hadithi ulizothimuliwa na babuVijana wa miaka hiyo wamekuwa legelege sana, ni tafauti na sisi vijana wa miak 1940; tulipofikisha miaka 15 tulipambana kuwafukuza wazungu
Njoo Nyegezi stendi utwae boksi zima mkuu.Ebu nitumie kwenye daladala nizikute hapo town nata
Uhuru wa Kingono au wa nini?Ndio nchi nyingi za kiafrika zimepata uhuru, bila sisi mngekuwa watumwa mpaka leo.
Sasa mbona vijana wameikuta nchi ni masikini?Hapana, hao ni vijana wa miaka 18900 amabao ubongo wao ulikuwa hauna tofauti sana na wazinjanthropus.
Haina shaka.Utapata hata pua ya ngamia iwe kitoweo.Maalim mimi mwisilam silagi vyakula vya kikafiri
Mkuu maisha hayana formulaMaisha bhana,
Unakuta mmoja anazihesabu ndevu zenye mvi,na mwingine anahesabu ndevu zilizobaki nyeusi.
Sio wote mfano Ronaldo ChristianEeeh basi wewe 40 bado. Wenye 40 ndevu zimejaa mvi tu😂😂
Bado miezi kadhaa, nigonge thate.So now una umri gani many🥰