Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Dah begi nawekea vitu vingi sana,nishawahi kuweka simu za millioni kumi na tano kwenye begi hilo hilo.
Niweka sana pesa kipindi hiko napeleka pesa benki.
Begi nilikua naweka kila kitu kuanzia laptop mapka soksi zangu,vichenji chenji natupia humo,charger,earphone,nikinunua kitu sio kizto naweka kwenye begi.
Begi linasave sana kwa sisi mishentown.
 
!
!
Habari wadau wa jukwaa hili!
Mnisamehe sana kama nitawakwaza na swali langu.
Hivi haya mabegi ya mgongoni ambayo watu wanakuja nayo hadi kwenye sehemu za starehe huwa wanabeba vitu gani?

Hasa ndugu zetu wa dar ambao huombea mvua inyeshe ili wavae masweta yenye Kofia.
Ukija mjini ndo utajua umuhimu wa begi,shinyanga na begi la mgongoni wapi na wapi
 
Fashion kwa baadhi ya watu na kuna baadhi huwa wanabeba vitu muhimu, laptops nakadhalika.
 
ahhhaah.... Eti kama unaona kero kwenye public transportion nunua gari yako hhah
 
sasa PC mpirani au club ya nini, ni ulimbukeni tu kama ilivyo kuvaa suruali chini ya matako
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Humo huwa kuna vyumba vyao.

Yani begi self contained.. Lina boxer, jeans, t-shirts, vests, toothpaste, toothbrush, hair combs, shoebrush, nail cutter na vitamba ya kijifutia raba zao.

Usisahau lotion na perfume.. Wanakuambia kambi popote..
Kambi popote
 
Back
Top Bottom