gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
Wengine ni vibaka tumkuu usiashangae sana hao wote unaowaona na mabegi ni wanafunzi wameamua kurudi shule si unajua jamaa hana maskhara ktk vyeti,so vumilia tu wakihtmu hutowaona na mabegi.
Wengine ni vibaka tumkuu usiashangae sana hao wote unaowaona na mabegi ni wanafunzi wameamua kurudi shule si unajua jamaa hana maskhara ktk vyeti,so vumilia tu wakihtmu hutowaona na mabegi.
panda bajaji au boda boda
Karibu Dar es salaam huku duka mtu anatembea nalo mdongoniInategemea na kipato ulichonacho sio apande tu muambiwe ukweli munakera jirekebisheni
Karibu Dar es salaam huku duka mtu anatembea nalo mdongoni
Kama umezaliwa Dar basi huwezi mshangaa mtu aliebeba begi....siku hizi kuna biashara nyingi ambazo hazifanyiki madukani, kuna zile za mtandaoni mteja anaorder na ukitaka deliver mzigo kwa mteja unapack kwenye begi ili kumfikishiaMm mwnyewe nimezaliwa hapo na naishi apo hx labda nikukaribishe ww wa kuja
Kama umezaliwa Dar basi huwezi mshangaa mtu aliebeba begi....siku hizi kuna biashara nyingi ambazo hazifanyiki madukani, kuna zile za mtandaoni mteja anaorder na ukitaka deliver mzigo kwa mteja unapack kwenye begi ili kumfikishia
Unaweza kuzaliwa mjini na bado ukawa hujui kitu
Kwani wabeba begi walikufanyaje?Hamjakatazwa msibebe bt muwe wastaarabu .heshima ni kitu cha bure kaka
Kwani wabeba begi walikunyaje?
Mi mbona ninalo huwa siwakeri abiria wenzangu kama wwNa wewe nunua la kwako acha kupiga kelele!
vyaa kwa mbele sasa maana umesahau na sindano usije ukachoma wenzakoNonsense unataka watu wote wasafiri kama unavyosafiri wewe...? Mimi bag langu lazima liwe na pc, nguo za kubadili, mswaki na dawa ya meno, vitambulisho, ATM cards, kijiko, sahani, maji, first aid kit, subwoofer ndogo notebook, na coins kama za elfu 10 kwaajili ya nauli...kiukweli siwezi kulieka chini maana linaniweka mjini!
tatizo akrapanda bajaji au boda boda
hahahaha hii kali,kumbeNdio maana siku hizi vijana wengi mabega yao yamerudi nyuma vifua mbele.
Kwahiyo kumkera mwenzako ni halali kisa umelipa nauli??Ukichoka hizo kero nunua gari yako mkuu. Huku kila mtu analipa nauli
hamna cha wivu wala nn usiwe unafanya hivyoWivu tu
ndo unavyojidanganya acha hizoKaribu Dar Es Salaam wakuja
inawezekana sema watu wameshajichukia kuwa kwenye public transport anaweza fanya chochote kwa sababu analipa nauli ila sio kweliTuweni wakweli kidogo, watu mnategemea comfort levels kwenye public transport kama gari binafsi, haiwezekani!
Hata kama ningekuwa mgeni sio kwa staili hii ya kukera wenzakoMm mwnyewe nimezaliwa hapo na naishi apo hx labda nikukaribishe ww wa kuja
hayo yote najui kumkera mwenzako na hayo uliyosema hayana uhusiano wowote mi mbona nabeba ila najitahidi nisimkere abiria mwenzangu wa jiraniKama umezaliwa Dar basi huwezi mshangaa mtu aliebeba begi....siku hizi kuna biashara nyingi ambazo hazifanyiki madukani, kuna zile za mtandaoni mteja anaorder na ukitaka deliver mzigo kwa mteja unapack kwenye begi ili kumfikishia
Unaweza kuzaliwa mjini na bado ukawa hujui kitu
Habari wana JF,
Najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani?
Sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata fresh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa.
Wadada nao nywele zao zinanuka.Kukera...hata wengine wanakereka na manukato unayojipulizia.