Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Yaan ulichofikiria ni kuwa huyo mwanaume anajipodoa...

Mbona hukufikiria Amemnunulia mtu wake au Ameagizwa..
 
7049dc4a928ce81283a8927af38c8f52.jpg
Habari za asubuhi wanajamii,

Hii ya vijana wengi wake kwa waume kubeba mabegi mgongoni, hata sielewi huwa yanakuwa na nini, utafikiri mtu yupo safarini. Huwa nashuhudia hata wata wafanyakazi wenzangu utakuta anakuja na begi mgongoni akifika analiegesha hadi jioni wakati wa kuondoka analibeba sometimes mnapanda daladala moja haendi kokote zaidi ya nyumbani.

Sasa mtu unabaki unajiuliza hilo begi lina nini ndani? Sijui huwa mnachukua nguo, vitabu au nini? Kilichonifanya niandike humu ni ile kero tunayoipata kwenye mabasi hasa haya ya mwendo kasi. Watu wanaingia na mabegi mgongoni hajali kama linamsukuma mtu mwingine upande wa pili.

Punguzeni kuchukua mabegi imekuwa kama fashion....
mabegi fasheni kitambo tu...yanakuwa na vitu ndani vidogo vidogo
 
mkuu,,,, sijamuwazia kujipodoa,,, ila kila mtu amejua ndicho anachobebaga,,,, naivi ni smart babyface c ndo balaa.
Yule awezakuwa Sales rep. au delivery man wa courier !! ilikuwa baada ya kumaliza pale idarani apelike mzigo kwa mteja !!
Ahssssante Me2 !! nimekusoma...
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
wanaweka ped, kioo na poda. pia wengine huwa nayo wakiopoa mtoto wa kishua wanawaibia wanaficha humo
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.


Ukute niwatafutaji wa credit vimefeli huko badala yakukomaa vipate credt vnaleta ubishoo wakijinga,, wananikela mim mbwa hawa
 
Mimi nikienda supermarket huwa nanunua vitu naweka Kwenye bag langu... Sitaki Kuuza kwamba nimetoka Nakumat au game.... Nikipenda mwiko kwa machinga naweka Kwenye back pack... It's back pack maaan, u pack whatever the hell you like..
 
Wengine hiko kibegi ni ofisi.
MF kuna mtu anawekaga spana na vifaa Vya kutengenezea umeme yeye ni Fundi
Mda wowote akipata kaz anapiga kazi
Wengine wanawekaga nguo yan hao kambi popote wanaweka nguo,mswaki mafuta na kila kitu
 
Wapuuzi Yaani Unaona Wavula/Wasichana Wakina Baba/Wakina Mama Mabegi
Kuna Hii Ya Kuweka Earphones Masikioni Basi Nayo Bhalaa Kila Mtu Anaweka Halafu Mpaka Wengine Wanagongwa Na Magari/Pikipiki
 
Binafsi napenda kubeba lakini huwa na vifaa vyangu vya kiofisi, laptop, flash, cd cable mbalimbali, external HD, external drive na cable za printer, kazi popote nikihitajika, bila jusahau taulo, sabuni ya kuogea mswaki na dawa ya meno, na mafuta ya kupata, na akiba ya con.
 
Mkuu hilo si suala la ajabu sana.Asilimia kubwa ya watumiaji wa begi hizo huwa na na sensitive materials ambazo zinavutia wizi.pili,bidhaa haramu.So,all in all,wanapunguza attention ya watu.Dunia ya leo kuna portable devices nyingi ambazo begi linarahisisha ubebaji na usalama.Unaweza kumkuta mtu ana kibegi kabeba headphones tu,ila ni beats by dre dukani ni sh laki mbili.ukiweka shingoni huku mitaani ni tabu.na wewe unataka uende nayo maybe beach,uwanjani etc ukaitumie huko uweke kwenye rambo?by the way,wengine tukienda bank na hela nyingi,utatukuta na appearance hiyo hiyo,chini pensi,juu tshirt,mgongoni kibegi,kumbe umejaza hela ya kupaulia nyumba.hata ukiacha kwenye gari hawachukui,ila weka briefcase uone!halafu mbona hamuwasemi wanaobeba briefcase na kuniga tai wakienda ofisini?it's just a matter of choice and style.Mie nikienda benki kibegi,nikienda site kibegi,nikienda gym mazoezini kibegi,wenye uelewa wa maisha wala hawataniuliza kwa nini nabeba.wacheni zenu bhana.
Umenifurahisha sana mkuu ulipo uliza mbona wanao beba brief case hawawaulizi?siku hizi watu wanamambo mengi wacha watu waendelee kuona wenzao washamba!mimi binafsi kazi yangu inanitaka kuwa na begi la kubebea vifaa vya kazi!
 
Maana ya begi la mgongoni ipo kwa mtumiaji wa begi.
Sina hakika kama kuna mtu anabeba tuuu pasipo kulitumia.
 
Habari wana JF,

Najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani?

Sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata fresh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa.
 
Back
Top Bottom