Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Habari wana JF najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani??sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata flesh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa....
ushauri tafadhari
 
mkuu usiashangae sana hao wote unaowaona na mabegi ni wanafunzi wameamua kurudi shule si unajua jamaa hana maskhara ktk vyeti,so vumilia tu wakihtmu hutowaona na mabegi.
utavumiliaje huku unaumia
 
mkuu usiashangae sana hao wote unaowaona na mabegi ni wanafunzi wameamua kurudi shule si unajua jamaa hana maskhara ktk vyeti,so vumilia tu wakihtmu hutowaona na mabegi.
Kwani wanafunzi wanaisha ,wakitoka wao wapya si huingia
 
Habari wana JF najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani??sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata flesh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa....
Acha kulalama kijana.. izo ni changamoto za jiji
 
Habari wana JF,

Najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani?

Sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata flesh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa.
aisee sijui wanaume wa dar wanabeba nini naona kasi inaongezeka
 
Back
Top Bottom