lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,348
wakipunguza itakuwa afadhali ikiwezekana waache kabisani kweli basi tufanye watapungua kidogo maana watakuwA makazinI
wakipunguza itakuwa afadhali ikiwezekana waache kabisani kweli basi tufanye watapungua kidogo maana watakuwA makazinI
Hahaha usiombe awe ana jasho kali ni shida mara miaYaani in kero kubwa utadhani wanaenda mkoani mabegi makubwa ajabu mpaka jasho linawatoka
ni kweli ila binafsi huwa sijipulizii ya kumkera mtuKukera...hata wengine wanakereka na manukato unayojipulizia.
wewe ni mmoja wapo jirekebisheKama huna begi na una pakacha piga kimya
inaongezeka kwa kazi ya 5G wadada nao hawako nyuma wanakuja kwa kasi hatariiaisee sijui wanaume wa dar wanabeba nini naona kasi inaongezeka
Habari wana JF,
Najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani?
Sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata flesh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa.
sawa kaka mi mwenyewe nabeba sana ila simkeri mtu nikifika kwenye daladala naangalia utaratibu kama kumpa mtu anishikie au kama kuna sehemu niweke ikishindikana sana naweka kwa mbelemkuu mimi nafanya jazi ya ulinzi, siwez kutoka na minguo yangu ta kazi kutoka mbezi mpaka posta, acha asubuhi nipige mtoko vizur kama wewe unaefanya kazi TRA alaf wote tuepekee posta 'kazini' minguo yangu ya kilinzi naitupia kwe begi ukiniuliza nakwambia kuna laptop
usiseme hivyo kwahiyo kama ni public transport basi ndo ukere wengine ukiuliza daladala,ustaarabu kitu muhimu sanaKama hupendi kero nunua usafiri wako
Hapo umenenaMleta mada umegusa pale pale, yaaani hii kero ya vibegi imezidi. Wenyewe wanaita swagga. Utakuta mtu anageuka gafla kwenye mrundikano wa watu bila kujali kwamba ana kibegi matokeo yake uliye nyuma yake unapigwa kikumbo na lile begi! Acheni kuiga kila kitu vijana, igeni mbinu za kusaka pesa.
Hapo sawa "WAWE WAELEWA" nimeipenda hiyo,ukiwa muelewa ukiingia kwenye daladala utaangalia namna nzuri ya kuweka begi lako vizuri usiwakere wengineMkuu sasa unafikiri watabebea nini material?
Mfano mwanafunzi anakaa Hostel Mabibo alafu anatoka kwenda Campus kupiga kitabu,we unafikiri atabeba vitabu na vitini mikononi? Huko kuna laptop pia ili kumuwezesha kwenye mambo mbalimbali.
Hebu wavumilieni maana hakuna jinsi. Cha msingi wawe waelewa tu!
maji yamenifika shingoni halafu huku ndo kuna wadau wengi na njia rahisi ya kufikisha ujumbeMkuu mbona unalalamika sana. Kwani hii pia ilipaswa iwe thread?
Kweli mkuu mi juzi nimegombana na jamaa alikuwa kabeba beg mgongoni kumbe ndani kaweka samaki wabichi wanatiririsha mimaji ya barafu alafu na yeye kesha loa kwenye koti alokuwa amewaa hana habari si akanipaka maji!!asee nilimchenchia sanaHabari wana JF,
Najua kama mabegi hutumika kuweka vitu mbalimbali ila kero yangu ni kwa wale wanayoyavaa mgongoni kwenye daladala/mwendokasi kama tunavyojua zinavyajaza bora hata uweke mbele au umuombe mtu akushikie kuna wengine wabishi kuyaweka vizuri hata ukimwambia halafu kwanini sikuhizi yamekuwa mengi sana tofauti na zamani?
Sasa usiombe gari lifunge brake ghafla utaipata flesh hata mikoba ya wanawake nayo ni kero kubwa.