Hahahahah!!!!!! jamani leo nilitumwa nikalipe bill ya maji tulipokuwa foleni kuNa kama wanaume wa 5 ivi wotE wana mabag mgongoni,,,, sasa ilipofika zamu ya aliekuwa mbele yangu akawa anatafuta kile kikaratasi kwenye bag lake ili alipe bahati mbaya zipu ikajiachia bila kiwango hadi vitu vikamwagika kilicho shtua masikio ya watu ni mlio wa kioo na kasha la makeup limepasuka pale chini kuja kumtazama aliedondosha ni mwanaume,,, watu tukaishiwa POZI mbaya zaidi kaacha maunga ya makeup kwenye tiles pale ofsin kwa watu,,,,, SIKU ZOTE huwaga najua mnabebaga LAPTOP kumbe ndo hayo!!!!!!!!!! DUNIA imeisha.......