Vijana nyie wajinga sana

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
58,242
Reaction score
167,370
Kuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .


Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
 
tenda wema na uende zako gentleman 🐒
 
Hivi bado unaendekeza mambo hayo.Mada zangu usomi kuelewa kuna mda akiba ya daraja achana nazo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…