Vijana ni kwanini hamtaki kuoa?

Vijana ni kwanini hamtaki kuoa?

sio kwamba vijana hawataki kuoa ila mabinti wasiotaka kuolewa ni wengi kuliko wanaotaka, trust me mabinti wengi wanaoolewa ni kwa sababu maisha yamewaendea kombo au kutafuta unafuu wa maisha, ni wachache ambao wameolewa kwa utayari wao wa kuwa ndani ya ndoa
Cheki jings hili..wanawake wangap wana uwezo lkn hawapat wa kuwaoa? Kusena ule ukwl wanaume hawatak kuoa ss hv
 
ukiona mtu mzima wa afiya uwezo wakuoa anao kuolewa ataki kuoa kuolewa mtu huyo kama ni mwanaume basi ni hanithi kamasio basi huyo ke atakuwa anasagwa na huyu me basi shogo hau wote hao watakuwa malaya
Mm natak kuolewa ila sipati wa kunioa...utasema ninasagana kwa kuwa sijaolewa??au ninadanga?? Wanawake wanapambania ndoa had si vzr lkn km haijaandikwa huipat..kuna mda had natamn nipate hata wa kunioa mje wa pili lkn simpat..wanaume hawatK kuoa..sijui n mapepo au shda n nn
 
Hahahahah! Na wanapata guts za kutoa vigezo vya wanaume wanaotaka. Utasikia, mara ooh sitaki mnywa pombe, sitaki mkali nataka mume mpole na asiyejua mamb ya club... kmmk linalosema haya unakuta ni limalaya limoja lililokubuhu na kuchoka. Linataka mume mpole mpole ili limuendeshe
Ss janaume linakunywa pombe na kazi halina..afu mwanamke ana kaz ya serikali unatak hilo janaume alipeleke wap..huo n mfn tu
 
Iv watu mkihamasisha watu waoe mnapata faida gani , mimi juzi kuna jinga limoja hivi linapiga simu eti nioe , sijui nikioa yeye anapata faida gan !!watanzania tangu lini tumeanza kuhamasishana mambo yenye faida ? Zaidi ya kufurahi jinsi utakavyoteseka!!!
 
Cheki jings hili..wanawake wangap wana uwezo lkn hawapat wa kuwaoa? Kusena ule ukwl wanaume hawatak kuoa ss hv
Duh sasa unanitusi nimekukosea nini dada, au sitakiwi kutoa maoni yangu humu
 
mikusema kweli siwapendi wanawake yaa sio kwamba ni shoga mi lijali kabisa, utotoni niliteswa sana kisa mama wakambo nikakosa mpaka fursa muhimu,pili katika makuzi yangu nikampenda bimdada akanidhalilisha mbele ya wanaume wenzangu kisa sina pesa,kwahiyo sasaivi pesa ipo majumba yapo ambacho sitaki tu mwanamke asile hata jasho langu napo sema nawachukia wanawake na maaniwote hata mama yangu.kuzaa tawazalisha tu kuoa no,wataishia kuona ndinga zangu barabarani tu
 
Back
Top Bottom