BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,343
Ni kwa sababu hatutaki kuoa,,,nothing else.
Kweli mabinti hawataki kuolewa.wanapeda kudanga.sio kwamba vijana hawataki kuoa ila mabinti wasiotaka kuolewa ni wengi kuliko wanaotaka, trust me mabinti wengi wanaoolewa ni kwa sababu maisha yamewaendea kombo au kutafuta unafuu wa maisha, ni wachache ambao wameolewa kwa utayari wao wa kuwa ndani ya ndoa
ukiona mtu mzima wa afiya uwezo wakuoa anao kuolewa ataki kuoa kuolewa mtu huyo kama ni mwanaume basi ni hanithi kamasio basi huyo ke atakuwa anasagwa na huyu me basi shogo hau wote hao watakuwa malayaIjumaa Kareem!
Kwamba mmeamua kumwaga ugali au?
Naomba nisiongee mengi leo ila nashuhudia malalamiko mengi sana kutoka kwa wanawake. J Pili nikipiga jicho Kawe kwa Mwamposa naona mamia ya akina dada tena ni warembo wenye maumbo yao, wakitaka kuombewa wapate waume.
Vijana fungukeni, nini kipo nyuma ya pazia kwa nyie kukataa kabisa kuoa?
Hii kampeni ya 'kijana kataa ndoa' ilianza kama masihara humu JF, ila saa hizi mpaka mitaani vijana wenye mafanikio wengi wanaitumia.
Wanazalisha tu wanalea watoto.
Hii kampeni inazidi kusambaa kwa kasi ya ajabu with time.
Vilio kwa akina dada navyo ni vingi na si haba.
Hebu tusemezane sasa leo vijana.
Halafu wanaishia kuzalishwa na kuwa single mazaKweli mabinti hawataki kuolewa.wanapeda kudanga.
Nilitaka kushangaa kuhani wa shetani unakosaje kwenye uzi kama huu.....Kataa Ndoa
Ndoa ni Usanii
Nyie mnaowaonea huruma ndo muwaoeIla mazee waoeni hawa watoto jamani, wengi wanatia mno huruma.....
Ninyi mnapotia mgomo mkali hivi nani awaoe sasa ???
Daaah, umenichekesha sana leo.....Nyie mnaowaonea huruma ndo muwaoe
Wengine kwetu hao ni vyombo vya starehe
Oa nikugongee mkeo
Kweli mkuu akili zinawajia uzeeni.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Halafu wanaishia kuzalishwa na kuwa single maza
Umri ukiwatupa mkono ndio wanataka ndoa
Nani akuoe akutunze wewe na mtoto/watoto wako
Ndoa haingalii urembo na makalio makubwa ndoa inajumuisha vitu vingi sana ambavyo ukianza kuchambua na kuringanisha baina ya wanawake wa zamani na sasa utaona kuna utofauti mkubwa sana.Wanawake wengi wa sikuizi hawana maadili yaani kuna vitu unakuta mke wa mtu anavifanya kwa mumewe hadi unabaki unatikisa kichwa tu ni aibu bora kila mtu ashinde mechi zake.
Inakuwa too late wanaishia kuwa mashangazi au majimama (sugarmummies)Kweli mkuu akili zinawajia uzeeni.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wao kuomba kiasi hicho inafanya wanaume waamini kuna mtego ndio maana mpaka wanafanyiwa maombi...Ijumaa Kareem!
Kwamba mmeamua kumwaga ugali au?
Naomba nisiongee mengi leo ila nashuhudia malalamiko mengi sana kutoka kwa wanawake. J Pili nikipiga jicho Kawe kwa Mwamposa naona mamia ya akina dada tena ni warembo wenye maumbo yao, wakitaka kuombewa wapate waume.
Vijana fungukeni, nini kipo nyuma ya pazia kwa nyie kukataa kabisa kuoa?
Hii kampeni ya 'kijana kataa ndoa' ilianza kama masihara humu JF, ila saa hizi mpaka mitaani vijana wenye mafanikio wengi wanaitumia.
Wanazalisha tu wanalea watoto.
Hii kampeni inazidi kusambaa kwa kasi ya ajabu with time.
Vilio kwa akina dada navyo ni vingi na si haba.
Hebu tusemezane sasa leo vijana.
Bado sijaamini kabisa kakaHiyo ndo slogan mpya kataa ndoa tunza Afya ya Akili.