Vijana ni kwanini hamtaki kuoa?

Vijana ni kwanini hamtaki kuoa?

Huyu huyu mwanamke wanatuambia haki sawa , hapo hapo hana uwezo wa kufanya yale ninayo yafanya kama mwanaume japo anadai yupo sawa na mimi.. sasa wa kazi gani kumuoa sibora umzalishe tuu ulee wanao
 
Hahahahah! Na wanapata guts za kutoa vigezo vya wanaume wanaotaka. Utasikia, mara ooh sitaki mnywa pombe, sitaki mkali nataka mume mpole na asiyejua mamb ya club... kmmk linalosema haya unakuta ni limalaya limoja lililokubuhu na kuchoka. Linataka mume mpole mpole ili limuendeshe
Halafu siku hizi ndo wanapenda sana kutaka kuwatawala wanaume na wengine wamefanikiwa. Hautakiwi kuwa lelemama kwa mwanake lasivyo atakupanda kichwani
 
Hii kitu mnaikuza wenyewe kwa kuanzishia nyuzi kila mara, kila siku nyuzi kibao kumbe ndio mnafanya promotion.

Anyway, kila mtu ashinde mechi zake. Anaetaka kuoa aoe asietaka asioe, kila mtu aishi maisha yake. Kulazimishana chakufanya ni uzandiki.
Kuna kitu kinamkereketa sehemu flani anataka kulazimisha Mambo yake humu, ama hajaoa anatafuta majibu alinganishe na ya kwake.
 
20230212_141911.jpg
 
Ndoa haingalii urembo na makalio makubwa ndoa inajumuisha vitu vingi sana ambavyo ukianza kuchambua na kuringanisha baina ya wanawake wa zamani na sasa utaona kuna utofauti mkubwa sana.Wanawake wengi wa sikuizi hawana maadili yaani kuna vitu unakuta mke wa mtu anavifanya kwa mumewe hadi unabaki unatikisa kichwa tu ni aibu bora kila mtu ashinde mechi zake.
Sasa wee mwanaume unaoenda matako makubwa utaachaje kuweka hicho kama kigezo.
Relationships are about sex...mengine ni ziada tuu
 
Sio kwamba vijana hawataki kuoa ila hakuna WIFE MATERIALs. Mtaani kuna wanawake wengi wanaotaka ndoa za kimkakati kwa kushirikiana na familia zao wanageuza kama sehemu ya kupata unafuu wa maisha... Hii ina athiri hata wale Wife Materials walio serious na ndoa kuonekana wako kwenye channel moja..
 
Back
Top Bottom