Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Zamani ugolo walikuwa wanabwia kina bibi,eti siku hizi vijana ndio wameona fashion na wao wanaona ndio ujanja kubwia ugolo,ukimkuta domo kakunja anashindwa hata kuongea,kutema mate kama mjamzito vile,acheni hizo mnaboa sana mnajua!