kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,290
- 1,656
Naomba niandike kitu kama pumba flani lakini inafikirish kidogo.
Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo kule kijijini kwetu msinga-kibosho marehemu bibi yangu (ndo nilikuwa nikiishi nae, wazazi wangu na wadogo zangu wao waliishi Dar) alikuwa akiniasa wakati akinituma, "usipite mtaa ule kuna kichaa mkali sana si unamfahamu kichaa PAULO? "naitikia ndio.....si unajua anapiga watu? basi tafadhli usipite pale.
Na kweli kichaa Paulo alikuwa noma na alikuwa na pumzi ya ajabu, alikuwa na uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzika, pia mara chache shangazi yangu aliyekuwa akiishi pale mjini moshi, wakati wa likizo alikuwa akinichukua kwenda kupumzika kwake.
Sasa pale mjini Moshi kulikuwa na vichaa wengi sana na ajabu wengi wao walitokes sehemu iitwayo URU, unaopatikana sehemu iitwayo kishumundu, sio kwamba nazodoa, hapana watu wa URU wana akili sana ndo manake wengi wao ni maingeneer. Sasa wale ambao hawakuendelea na shule ili akili zipoozwe ndo walikuwa wakidata.
Anyway ilikuwa ni vurugu, huwezi toka mpaka uongozane na mkubwa. Hata ukisoma Biblia, YESU alimkuta kichaa mkali sana, unaambiwa kwa mujibu wa maandishi huyo chizi alikuwa na nguvu za ajabu na alikuwa na mapepo kibao kichwani (sijui ndo majini)
Unaambiwa YESU likomaa nao mpaka ikabidi ayaamrishe yale majini yaende kuwaingilia nguruwe, na waliwaingilia nguruwe nao nguruwe walichizika kama wamekula msuba, wote walikimbilia mtoni.
Sasa tuje kwenye vichaa hawa wa DOTCOM, vichaa hawa bwana wamekuwa wavivu sana, hawakimbii tena. Hata kutembea kwao wananyata, kuongea hawaongei achana na kupiga kelele kama vichaa wa longi, kutwa wamelala majalalani. Yaani sasa hivi kama kichaa kalala barabrani unamkamata mguu na kumvutia kando ya barabara huku yeye akikuangalia kwa jicho la huzuni!
Vichaa wa sasa hivi ni wembamba kama miwa, tofauti na wa zamani waliokuwa na kifua kama mandonga. Vichaa wa siku hizi hawabaki akina dada kama wa zamani wala hawapigi punyeto kama wa zamani, wala hawatembei uchi kama wa zamani!
Lakini katika kutafakari sana nikagundua jambo moja. Inawezekana utitiri wa makanisa ya walokole na kuongezeka kwa walokole na mikesha yao ya usiku na mchana, imesababisha hawa majini wanaoshi ndani ya vichwa vya hawa vichaa, kupooza na kunyon'gonyea kabisa, au nimekosea mazee?
Nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo kule kijijini kwetu msinga-kibosho marehemu bibi yangu (ndo nilikuwa nikiishi nae, wazazi wangu na wadogo zangu wao waliishi Dar) alikuwa akiniasa wakati akinituma, "usipite mtaa ule kuna kichaa mkali sana si unamfahamu kichaa PAULO? "naitikia ndio.....si unajua anapiga watu? basi tafadhli usipite pale.
Na kweli kichaa Paulo alikuwa noma na alikuwa na pumzi ya ajabu, alikuwa na uwezo wa kukimbia siku nzima bila kupumzika, pia mara chache shangazi yangu aliyekuwa akiishi pale mjini moshi, wakati wa likizo alikuwa akinichukua kwenda kupumzika kwake.
Sasa pale mjini Moshi kulikuwa na vichaa wengi sana na ajabu wengi wao walitokes sehemu iitwayo URU, unaopatikana sehemu iitwayo kishumundu, sio kwamba nazodoa, hapana watu wa URU wana akili sana ndo manake wengi wao ni maingeneer. Sasa wale ambao hawakuendelea na shule ili akili zipoozwe ndo walikuwa wakidata.
Anyway ilikuwa ni vurugu, huwezi toka mpaka uongozane na mkubwa. Hata ukisoma Biblia, YESU alimkuta kichaa mkali sana, unaambiwa kwa mujibu wa maandishi huyo chizi alikuwa na nguvu za ajabu na alikuwa na mapepo kibao kichwani (sijui ndo majini)
Unaambiwa YESU likomaa nao mpaka ikabidi ayaamrishe yale majini yaende kuwaingilia nguruwe, na waliwaingilia nguruwe nao nguruwe walichizika kama wamekula msuba, wote walikimbilia mtoni.
Sasa tuje kwenye vichaa hawa wa DOTCOM, vichaa hawa bwana wamekuwa wavivu sana, hawakimbii tena. Hata kutembea kwao wananyata, kuongea hawaongei achana na kupiga kelele kama vichaa wa longi, kutwa wamelala majalalani. Yaani sasa hivi kama kichaa kalala barabrani unamkamata mguu na kumvutia kando ya barabara huku yeye akikuangalia kwa jicho la huzuni!
Vichaa wa sasa hivi ni wembamba kama miwa, tofauti na wa zamani waliokuwa na kifua kama mandonga. Vichaa wa siku hizi hawabaki akina dada kama wa zamani wala hawapigi punyeto kama wa zamani, wala hawatembei uchi kama wa zamani!
Lakini katika kutafakari sana nikagundua jambo moja. Inawezekana utitiri wa makanisa ya walokole na kuongezeka kwa walokole na mikesha yao ya usiku na mchana, imesababisha hawa majini wanaoshi ndani ya vichwa vya hawa vichaa, kupooza na kunyon'gonyea kabisa, au nimekosea mazee?