Vijana na sie tujiandae mwakani kuweka Rais wetu

maramojatu

JF-Expert Member
Mar 16, 2012
1,165
1,530
Vijana wenzangu tuliozaliwa miaka ya 1980 tumeona yaliyotokea wiki hii...

Senegal wameweka Rais kijana wa miaka 44 ofisini pamoja na changamoto zote za kufungwa jela na kufutwa chama za siasa.

Wananchi hawakuona hizo kama ni changamoto wakamuingiza madarakani aliyekuwa mtoza ushuru, Faye.

Aidha, Ireland nao ni wiki hii wamemteua kijana wa miaka 37 kama waziri mkuu. Kijana mwenyewe hata chuo kikuu hakwenda, alienda kuripoti tu na kuondoka.

Sasa basi kwa kuanzia na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu vijana wa miaka ya 1980 tutawashangaza.

Pia uchaguzi mkuu mwakani tuhamasishane tuweke mgombea wetu atatue changamoto zinazotukabili kama ajira, ulevi WA pombe kali, usimamizi wa madini na resources nyingine na kudharauliwa.

Tumechoka kuambiwa kusubiri, eti vijanav taifa la kesho. Hatuwezi tena kuongozwa na umri mkubwa usiobadili maisha ya watanzania
 
Vijana wenzangu tuliozaliwa miaka ya 1980 tumeona yaliyotokea wiki hii...

Senegal wameweka Rais kijana wa miaka 44 ofisini pamoja na changamoto zote za kufungwa jela na kufutwa chama za siasa.

Wananchi hawakuona hizo kama ni changamoto wakamuingiza madarakani aliyekuwa mtoza ushuru, Faye.

Aidha, Ireland nao ni wiki hii wamemteua kijana wa miaka 37 kama waziri mkuu. Kijana mwenyewe hata chuo kikuu hakwenda, alienda kuripoti tu na kuondoka.

Sasa basi kwa kuanzia na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu vijana wa miaka ya 1980 tutawashangaza.

Pia uchaguzi mkuu mwakani tuhamasishane tuweke mgombea wetu atatue changamoto zinazotukabili kama ajira, ulevi WA pombe kali, usimamizi wa madini na resources nyingine na kudharauliwa.

Tumechoka kuambiwa kusubiri, eti vijanav taifa la kesho. Hatuwezi tena kuongozwa na umri mkubwa usiobadili maisha ya watanzania
Huyo sio ww kwanza ila kwa kuwa wengi wenu ni nyumbu ndio maana mnazuzuka.
-Andry Rajoelina aliingia akiwa na miaka 34 tuu hapo Madagascar,Sasa uliza kama hao Vijana walipata walichokitaka.

-Pili wapo waliopindua wako huko Burkinafso Wana miaka 37 wanapiga porojo za Putin tuu hakuna Cha maana wanafanya.

Kiufupi ni mpumbavu pekee ndie ataendelea kutumiwa na Wanasiasa.Serikali haigawi pesa na Kuongoza Nchi sio sawa na familia.


Mwisho huyu bwana ni kivuli wa Sokko na sio mwenye njaa wamefanya kazi huko TRA ya Senegal baada ya kushiba na kuzibuna ndio wakaingia kwenye siasa.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1772458532152963253?t=jKUhdRJBGDvkKGBEgn8brQ&s=19

Mamia ya watu wamekufa Hadi Sasa ila Kwa upumbavu wao,eti unampigania mwanasiasa.

Mwisho mavijana mengi ni mihemko,hawafai kabisa Tanznaia Hatuwezi kubali kufanyiwa majaribio maisha yetu.
 
Huyo sio ww kwanza ila kwa kuwa wengi wenu ni nyumbu ndio maana mnazuzuka.
-Andry Rajoelina aliingia akiwa na miaka 34 tuu hapo Madagascar,Sasa uliza kama hao Vijana walipata walichokitaka.

-Pili wapo waliopindua wako huko Burkinafso Wana miaka 37 wanapiga porojo za Putin tuu hakuna Cha maana wanafanya.

Kiufupi ni mpumbavu pekee ndie ataendelea kutumiwa na Wanasiasa.Serikali haigawi pesa na Kuongoza Nchi sio sawa na familia.


Mwisho huyu bwana ni kivuli wa Sokko na sio mwenye njaa wamefanya kazi huko TRA ya Senegal baada ya kushiba na kuzibuna ndio wakaingia kwenye siasa.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1772458532152963253?t=jKUhdRJBGDvkKGBEgn8brQ&s=19

Mamia ya watu wamekufa Hadi Sasa ila Kwa upumbavu wao,eti unampigania mwanasiasa.

Mwisho mavijana mengi ni mihemko,hawafai kabisa Tanznaia Hatuwezi kubali kufanyiwa majaribio maisha yetu.

Mbona kama umepaniki kaka? Tumesema vijana wa chini ya miaka 45 tunataka kuweka wagombea kwwnye chaguzi za mwaka huu na mwakani. Wanawake nao wameshaanza kuhamasishana na sisi kuna ubaya gani kuanza kuhamasishana? Wazee mmeishiwa na mbinu za kuleta maendeleo hapa nchini. Kila kitu mwekezaji tu. Basi funga mashule yote kama hayatuandalii wakurugenzi wa makampuni mpaka kuwe na uhitaji kutoka mashariki ya mbali
 
Vijana wenzangu tuliozaliwa miaka ya 1980 tumeona yaliyotokea wiki hii...

Senegal wameweka Rais kijana wa miaka 44 ofisini pamoja na changamoto zote za kufungwa jela na kufutwa chama za siasa.

Wananchi hawakuona hizo kama ni changamoto wakamuingiza madarakani aliyekuwa mtoza ushuru, Faye.

Aidha, Ireland nao ni wiki hii wamemteua kijana wa miaka 37 kama waziri mkuu. Kijana mwenyewe hata chuo kikuu hakwenda, alienda kuripoti tu na kuondoka.

Sasa basi kwa kuanzia na uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu vijana wa miaka ya 1980 tutawashangaza.

Pia uchaguzi mkuu mwakani tuhamasishane tuweke mgombea wetu atatue changamoto zinazotukabili kama ajira, ulevi WA pombe kali, usimamizi wa madini na resources nyingine na kudharauliwa.

Tumechoka kuambiwa kusubiri, eti vijanav taifa la kesho. Hatuwezi tena kuongozwa na umri mkubwa usiobadili maisha ya watanzania
Vijana wenyewe aina ya akina Sabaya, Makonda, Lucas Mwashambwa n.k? tetetetete
 
Huyo sio ww kwanza ila kwa kuwa wengi wenu ni nyumbu ndio maana mnazuzuka.
-Andry Rajoelina aliingia akiwa na miaka 34 tuu hapo Madagascar,Sasa uliza kama hao Vijana walipata walichokitaka.

-Pili wapo waliopindua wako huko Burkinafso Wana miaka 37 wanapiga porojo za Putin tuu hakuna Cha maana wanafanya.

Kiufupi ni mpumbavu pekee ndie ataendelea kutumiwa na Wanasiasa.Serikali haigawi pesa na Kuongoza Nchi sio sawa na familia.


Mwisho huyu bwana ni kivuli wa Sokko na sio mwenye njaa wamefanya kazi huko TRA ya Senegal baada ya kushiba na kuzibuna ndio wakaingia kwenye siasa.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1772458532152963253?t=jKUhdRJBGDvkKGBEgn8brQ&s=19

Mamia ya watu wamekufa Hadi Sasa ila Kwa upumbavu wao,eti unampigania mwanasiasa.

Mwisho mavijana mengi ni mihemko,hawafai kabisa Tanznaia Hatuwezi kubali kufanyiwa majaribio maisha yetu.

Mfano mzuri ni AWESU wa Maji ni mihemko na mwizi mkubwa. Kazi kudanganya waliomteua kupitia media
 
Mbona kama umepaniki kaka? Tumesema vijana wa chini ya miaka 45 tunataka kuweka wagombea kwwnye chaguzi za mwaka huu na mwakani. Wanawake nao wameshaanza kuhamasishana na sisi kuna ubaya gani kuanza kuhamasishana? Wazee mmeishiwa na mbinu za kuleta maendeleo hapa nchini. Kila kitu mwekezaji tu. Basi funga mashule yote kama hayatuandalii wakurugenzi wa makampuni mpaka kuwe na uhitaji kutoka mashariki ya mbali
Wazee ni Machawa
 
Mkuu mabadiliko hayaji kwa humu kwenye soft landing,Senegalese wametoa jasho la damu kuleta yale mabadiliko,Sio blah blah za humu JF
 
Huyo sio ww kwanza ila kwa kuwa wengi wenu ni nyumbu ndio maana mnazuzuka.
-Andry Rajoelina aliingia akiwa na miaka 34 tuu hapo Madagascar,Sasa uliza kama hao Vijana walipata walichokitaka.

-Pili wapo waliopindua wako huko Burkinafso Wana miaka 37 wanapiga porojo za Putin tuu hakuna Cha maana wanafanya.

Kiufupi ni mpumbavu pekee ndie ataendelea kutumiwa na Wanasiasa.Serikali haigawi pesa na Kuongoza Nchi sio sawa na familia.


Mwisho huyu bwana ni kivuli wa Sokko na sio mwenye njaa wamefanya kazi huko TRA ya Senegal baada ya kushiba na kuzibuna ndio wakaingia kwenye siasa.

View: https://twitter.com/bbcswahili/status/1772458532152963253?t=jKUhdRJBGDvkKGBEgn8brQ&s=19

Mamia ya watu wamekufa Hadi Sasa ila Kwa upumbavu wao,eti unampigania mwanasiasa.

Mwisho mavijana mengi ni mihemko,hawafai kabisa Tanznaia Hatuwezi kubali kufanyiwa majaribio maisha yetu.

Hata Kabila Jr aliingia ikulu akiwa na 32 tu
 
Vijana gani? Hawa hawa waliojiingiza kwenye ajira ya uchawa, kubeti na kudanga??.

Tanzania Ina vijana ambao hawapatikani popote duniani.
 
Back
Top Bottom