Wasenegal wameikabidhi nchi kwa vijana Faye na Sonko. Wacha tuone kama wamebutua au wameupiga mwingi

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,410
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia CCM.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapi, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
 
Hao uliowataja siyo raia wa Senegal?

Uzwazwa wa CCM unaharibu akili sana 😂
 
Bora wamepata mabadiliko kuliko kuendelea kutawaliwa na machama ya zamani yaliyoshehena majizi.
Ni kweli. Lkn hofu yangu ni kwamba wasije kuwa wameondoa majivu wameleta moto.
 
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapigia chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia ccm.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapo, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
maafisa wa kijeshi watakua urusi saiv kudraft technique za military take over as soon as possible 🐒
 
KWa experience yangu ya pale Senegal..
Kwanza Sonko ndio master mind wa mchezo mzima. Aligombea 2019 na akawa wa tatu.
Tokea 2019 mpaka January 2024 alikua anajiandaa kuwa rais wa Senegal kabla ya kuona hawezi kushinda rufaa na kutoka jela so akam endorse Faye.
Je unafikiri tokea 2019 mpaka leo Sonko hajui ataunda vipi serikali? Hawa walianzisha chama 2014.

Watu wengi waliokua serikalini walihamia chama chao na kuwa endorse... Je watashindwa kuunda serikali?

Rais ni cheo ila amezungukwa na kila mshauri anayemtaka. Watashindwa kuongoza?

Kwa tabia za hawa wasenegal walivyo akizingua hapitishi muhula washakiamsha.
Naamini wataweza.
 
Kwann unasema hivyo mkuu? Yawezekana akawa kiongozi mzuri. Tumpe muda
kuna wazee wa kazi kule kambini, ambao hawaamini na hawawezi kukubali kuongozwa na kijana mdogo ivo, eti kabisa wanakapigia salute ako kajamaa🤓

wanakalia timing tu 🐒

rejea story ya mjeda mkuu mstaafu na wale jamaa waliochomolewa from the gov posts, mapema kabisa baada ya mama kuchukua kiti..
wenye imani kama zile wapo pia Senegal 🐒
 
Senegal wameitumia vema demokrasia ya uchaguzi na kuwapiga chini wazee wakongwe wa chama tawala na kumchagua kijana mbichi Diomaye Faye.

Diomaye Faye hana background yoyote ya kiuongozi.

Kumchagua Faye ni sawa na kumchagua Abdul Nondo wa ACT kuwa rais kwasababu tu ya kuichukia ccm.

Sasa tusubiri kuona je, Wasenegal wamebutua ama wameupiga mwingi? Vijana huwa hawaaminiki hawa. Ni wa hovyo sana.

Kumbukeni akina Makonda, Sabaya, Hapo, Mnyeti, Gambo, etc walivyowatendea watanzania enzi za giza.
Kikubwa DUA
 
kuna wazee wa kazi kule kambini, ambao hawaamini na hawawezi kukubali kuongozwa na kijana mdogo ivo, eti kabisa wanakapigia salute ako kajamaa🤓

wanakalia timing tu 🐒

rejea story ya mjeda mkuu mstaafu na wale jamaa waliochomolewa from the gov posts, mapema kabisa baada ya mama kuchukua kiti..
wenye imani kama zile wapo pia Senegal 🐒
Sio kwa hawa naowajua. Huwajui Wa Senegal.
 
Back
Top Bottom