Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Walimu mna kimuemue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nadhani pdf yenu ikitoka mtakuwa mnaifungua mnaangalia kama vile mnaangalia matokeo ya form 4 au mnasubiri majibu ya vipimo vya ukimwi

Kuna kale katumbo flan hivi kanauma [emoji3]
 
Walimu mna kimuemue [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nadhani pdf yenu ikitoka mtakuwa mnaifungua mnaangalia kama vile mnaangalia matokeo ya form 4 au mnasubiri majibu ya vipimo vya ukimwi

Kuna kale katumbo flan hivi kanauma [emoji3]
walimu wangekutana na moto wa ajira portal sijui wangesemaje
 
Nimeona ajira portal wamejichanganya huko aiseee ila wamefuta haraka hilo tangazo la majina ya ualimu na afya
 
Natamani ku-attach screen shot ya hilo tangazo but linagoma kupakiwa. Anayeweza kupakia humu Jf anitafte kwa no
0754876949 nimtumie WhatsApp
 
Wamepost tangazo la kazi kwa walioomba ajira za ualimu na afya ila wamefuta saizi. Na wamesema profesa shemdoi ndiye aliye tangaza huko Dodoma. Katika kusoma nimeona walimu 6649 ni certificate na 3000 ni diploma na degree.
Hii kamba kubwa Sana Ajira portal na ualimu wapi na wapi, afu why wenyewe wapost wakati Kuna Tamisemi [emoji2]
 
Natamani ku-attach screen shot ya hilo tangazo but linagoma kupakiwa. Anayeweza kupakia humu Jf anitafte kwa no
0754876949 nimtumie WhatsApp
Eti unashindwa kuattach screen shot,unataka kuwachoma watoto wa watu[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom