Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Afu anatoa namba ya simu, eti apigiwe
Sasa publicity Jf ndugu. Anyway kuna niliowatumia screenshot huko whatsp nao wamenyamaza tu hawatumi humu mkaona.

Acha nikuombe radhi kwa hili najua umeudhika but haikuwa attention yangu. Bila shaka nilowatumia wapo.
Very sorry Mr!
 
Jamaa anataperi kijinga Sana,eti anashindwa kuattach screen shot [emoji2]
Duu Mimi nimekuwa taperi tena? Hivi nataperi nini hapo kwa mfano? Au nitasema tuma hela nikuangalizie jina kama upo?? Aisee Jf imekuwa na kizazi kisicho na akili kiasi Niki hadi nifanye utaperi? Au ushawahi sikia nmemtaperi mtu humu Jf? Kama unaoushahidi basi unaweza nifikisha ata police nikajibu mashitaka. Natumia verified account mkuu kwahiyo hutapata tabu kunipata. Go ahead ili niwajibishwe kwa unachodai mm ni taperi.


Watu kweli reasoning zenu ni ndogo kiasi hiki??? Alooo. Okay niripoti ata kwa moderator anipe ban au afute account yangu kama it's real mm ni taperi.
 
Duu Mimi nimekuwa taperi tena? Hivi nataperi nini hapo kwa mfano? Au nitasema tuma hela nikuangalizie jina kama upo?? Aisee Jf imekuwa na kizazi kisicho na akili kiasi Niki hadi nifanye utaperi? Au ushawahi sikia nmemtaperi mtu humu Jf? Kama unaoushahidi basi unaweza nifikisha ata police nikajibu mashitaka. Natumia verified account mkuu kwahiyo hutapata tabu kunipata. Go ahead ili niwajibishwe kwa unachodai mm ni taperi.


Watu kweli reasoning zenu ni ndogo kiasi hiki??? Alooo. Okay niripoti ata kwa moderator anipe ban au afute account yangu kama it's real mm ni taperi.
Utajua mwenyewe, na ujinga wako eti ajira portal wanapost tangazo la Tamisemi [emoji2]
 
Bora hizi fununu ziendelee kuepo kwa kasi ili tamisemi wajishtukie watoe majina upesi, ni mwezi sasa wameshindwa kuyapata majina 2000 ya afya
 
Mkuu watu wakuona tapeli sababu ajira portal na post za tamisemi ni vitu tofauti

Ungeleta hiyo screenshot ungeeleweka zaidi
Sijui hii simu imeshindwa kupakia au mm ndiye nimeshindwa kupakia ila watu zaidi ya kumi nimewatumia whatsp. Nimeumia kushindwa kuapload photos hizo.
Ila kama kuna mtu anaweza kuapload photo bc aje nimtumie naye azitume hapa ili watu wajue je mm n taperi au la!
 
Sijui hii simu imeshindwa kupakia au mm ndiye nimeshindwa kupakia ila watu zaidi ya kumi nimewatumia whatsp. Nimeumia kushindwa kuapload photos hizo.
Ila kama kuna mtu anaweza kuapload photo bc aje nimtumie naye azitume hapa ili watu wajue je mm n taperi au la!
Yaani uweke namba jf, Wana jf wayapate washindwe kuyaweka,,,,ng'ombe
 
Bora hizi fununu ziendelee kuepo kwa kasi ili tamisemi wajishtukie watoe majina upesi, ni mwezi sasa wameshindwa kuyapata majina 2000 ya afya
Tulia wewe mwalimu wa physics,utapangiwa Mafia[emoji2]
 
Sijui hii simu imeshindwa kupakia au mm ndiye nimeshindwa kupakia ila watu zaidi ya kumi nimewatumia whatsp. Nimeumia kushindwa kuapload photos hizo.
Ila kama kuna mtu anaweza kuapload photo bc aje nimtumie naye azitume hapa ili watu wajue je mm n taperi au la!
Mkuu Inamana huoni sehemu iliyoandikwa attach files?
 
Mkuu Inamana huoni sehemu iliyoandikwa attach files?
Napajua sana mkuu, na nimetuma sana picha humu na baadhi ya documents nikiwa bachat huko PM. Ila cha kushangaza leo nimeshindwa labda kwasabab nmeacha kutumia app ya Jf naingillia fb kuchat jf
 
Back
Top Bottom