Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,478
- 11,262
- Thread starter
- #541
Vijana mtalizwa mchana kweupe mwaka huu kalbia kila mtu anasema ana connection kazi ipoHahaaaa I don't expect negative feedback from my source
Vijana mtalizwa mchana kweupe mwaka huu kalbia kila mtu anasema ana connection kazi ipoHahaaaa I don't expect negative feedback from my source
Sure na wenye vinafasi vyao wanna take advantage kuchukua hela kwa vijana desperate in excuse ya ajiraConnection nyingne utaperi
Mkuu connection zipo nyingi Sana lakini connection za ukweli Ni chache , Kama connection yako ya ukweli ashapata,Najua nnachokisema wew..uzuri humu hatujuani...na itakua ngumu ku prove...na hata ingewezekana nisingefanya ivo..maana mtoa connection angeniona fala...na yuko humuhumu ingawa majukwaa ya huku hafikagi
SawaVijana mtalizwa mchana kweupe mwaka huu kalbia kila mtu anasema ana connection kazi ipo
Haahaa sio waziri tu bro..Mkuu connection zipo nyingi Sana lakini connection za ukweli Ni chache , Kama connection yako ya ukweli ashapata,
Tz waziri yeyote akikupa connection ushapata
Ndo ukweli TZ watu wanaweza kukupa connection za Tamisemi Ni hao top official wa wizara, mawaziri lbd na baadhi ya wabunge maana wanakutana na akina Bashungwa kila sikuSure na wenye vinafasi vyao wanna take advantage kuchukua hela kwa vijana desperate in excuse ya ajira
Maisha magumu ukipta connection itumieHaahaa sio waziri tu bro..
Sure kaka tulio mtaani tunavuta pumzi ya moto ya makaa ya maweMaisha magumu ukipta connection itumie
Kila mtu anapenda ila kuipata sasa, na hata ukiipata mzigo unaoombwa so mchezo.Maisha magumu ukipta connection itumie
Hao wanaoomba mzigo Ni matapeli,, connection ya ukweli unafanyiwa bure ,yaani unaunganishwa bureKila mtu anapenda ila kuipata sasa, na hata ukiipata mzigo unaoombwa so mchezo.
[emoji3][emoji3][emoji3]Sure kaka tulio mtaani tunavuta pumzi ya moto ya makaa ya mawe
Ndio.maana njia ya huku ni ngumu man...[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndoivo ukiona hadi mida hii hakuna hata umbea wa wito wa kuita waandishi wa habari ujue hamna kitu tena.Mpaka hapa ni bila bila tusubiri kesho
Connection zipo Ila Ile ya ukweli kabisa, Ni chacheConnection zipo Sana tu
[emoji2]Mpaka hapa ni bila bila tusubiri kesho
Kesho mtasema jumapiliNdoivo ukiona hadi mida hii hakuna hata umbea wa wito wa kuita waandishi wa habari ujue hamna kitu tena.
Ajira ni mwezi Wa saba. Naweka dauKesho mtasema jumapili