Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,475
- 11,255
- Thread starter
- #521
Khaa nijifiche kwani nadaiwa, delay zipo last year Katibu mkuu TAMISEMI aliita waandshi wa habari trh 25/06, ili atangaze ajira, alipata dharura, ikabidi kesho yake trh 26 ndo atangaze ajira, alijirekodi na video iliwekwa kwenye tovuti za TAMISEMI,siku ya trh 26,Kesho sijui utajificha wapi boss wangu
So delay zipo but official day Ni kesho