Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Tarehe 5/07
FV2HxmiXwAEt32m.jpeg
 
Tamisemi mkuu,ndo maana barua uliandika kwa Katibu mkuu Tamisemi
Ni kweli. Lakini hizi zingine Barua za maombi ya kazi mfano Afisa Misitu, Afisa Lishe, Daktari wa Mifugo n.k barua inaandikwa kwa Katibu, Ofisi ya Rais, Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma (Jenista Mhagama)
 
Ajira zitaongezwa upande wa Elimu na Afya ili kukidhi mahitaji kwa mujibu wa Waziri mwenye dhamana.

Week hii mbivu na mbichi


Kila la kheri vijana tukumbukane kwenye ufalme wenu huko.

Pinguzeni ndoto kubwa maisha ni yaleyale tofauti title tu. Mshahara huwa hautoshi.
 
Ajira zitaongezwa upande wa Elimu na Afya ili kukidhi mahitaji kwa mujibu wa Waziri mwenye dhamana.

Week hii mbivu na mbichi


Kila la kheri vijana tukumbukane kwenye ufalme wenu huko.

Pinguzeni ndoto kubwa maisha ni yaleyale tofauti title tu. Mshahara huwa hautoshi.View attachment 2269004
Hakuna ajira zitakazo ongezwa labda mwaka ujao wa bajeti
 
Back
Top Bottom