Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Tunajipendekeza kwa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri (DED) maana hawa ndio waajiri.
DC na RC ni watawala kwa level ya Wilaya na Mkoa respectively.
Kuna connection gani na kupata kazi TAMISEMI
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi leo umetoka povu hivi utapata uchizi ndugu.....

Embu cheki Duka la dawa hapo akupe haloperidol

Nimezungumza kwa nidhamu ila inaonekana unahasira boss...

Kunywa maji lala acha makasiriko kwani nilikunyima ajira mimi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Vijana wamechanganyikiwa
IMG_20220619_223531.jpg
 
Kuna connection gani na kupata kazi TAMISEMI
Kwani mkuu hujui kuwa DED yupo connected na TAMISEMI? Hujui kuna ajira za moja kwa moja kwenye Halmashauri aliyopo?. Acha tujipendekeze huko asee.
 
Mto wa mbu, unachekesha sijui unaishi nji gani TZ kweli? Everything kimekuwa centralised ajira zote ni utumishi ofisi ya Rais so basically mwajiri mkuu ni Rais mwenyewe. Hili lilifanyika ili kupolitisize position zote kwa faida za kisiasa. Nafasi zote hata za kiteundaji zimegeuzwa za kisiasa wala sicho unachokizungumza. Yametumika mamilion ya fedha kufanya structural/sectoral reforms miaka iliyopita leo kila kitu kimetupwa kapuni au flushed into drains. Nimemsikia Waziri wa fedha akisuggest some post serilkalini zitangazwae na kufanya usaili wa wazi kufuata qualifications and uzoefu wa kazi tarajiwa na sio qualification za kisiasa. Tafakari.
Naomba kuuliza hivi wizara inayohusika na kuajiri au kupitia maombi ya watu walioomba Ajira yani walimu na afya Ni ipi
1.Tamisemi (Bashugwa) 2.Wizara ya Ajira,Sera,vijana(Ndalichako) 3.Wizara ya Utumishi(Jenister)

Naombeni mnifafanulie hapo
 
Naomba kuuliza hivi wizara inayohusika na kuajiri au kupitia maombi ya watu walioomba Ajira yani walimu na afya Ni ipi
1.Tamisemi (Bashugwa) 2.Wizara ya Ajira,Sera,vijana(Ndalichako) 3.Wizara ya Utumishi(Jenister)

Naombeni mnifafanulie hapo
Tamisemi mkuu,ndo maana barua uliandika kwa Katibu mkuu Tamisemi
 
Back
Top Bottom