Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Kwa hiyo unaringishia au unajidai ama nini..huu uzi na watu wa chaki wewe usie wachaki inakuhusu nini au proffesional yako ni ukuda..maana ukuda nao sio chaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi leo umetoka povu hivi utapata uchizi ndugu.....

Embu cheki Duka la dawa hapo akupe haloperidol

Nimezungumza kwa nidhamu ila inaonekana unahasira boss...

Kunywa maji lala acha makasiriko kwani nilikunyima ajira mimi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi leo umetoka povu hivi utapata uchizi ndugu.....

Embu cheki Duka la dawa hapo akupe haloperidol

Nimezungumza kwa nidhamu ila inaonekana unahasira boss...

Kunywa maji lala acha makasiriko kwani nilikunyima ajira mimi

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Akili fupi siku zote wanatafuta escape plan kama excuse ya kuona umemmudu mtu..watu kama wewe tumeshawazoea sana brother....na maisha yao tunayajua endelea ku prentend wakati unafatilia updates ili uone kama jina lako lipo..
 
Nimegundua walimu mna viherehere sana sijui nini tatizo? No wonder wanasiasa huwa wanawatumia kama TP.
 
Vijana sahivi wanajipendekeza kwa wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na wabunge,,,,eti wawatafutie connection Tamisemi
Tunajipendekeza kwa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri (DED) maana hawa ndio waajiri.
DC na RC ni watawala kwa level ya Wilaya na Mkoa respectively.
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
Mida ndo hii wazee wa PDF[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
20220507_181702.jpg
 
Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Mto wa mbu, unachekesha sijui unaishi nji gani TZ kweli? Everything kimekuwa centralised ajira zote ni utumishi ofisi ya Rais so basically mwajiri mkuu ni Rais mwenyewe. Hili lilifanyika ili kupolitisize position zote kwa faida za kisiasa. Nafasi zote hata za kiteundaji zimegeuzwa za kisiasa wala sicho unachokizungumza. Yametumika mamilion ya fedha kufanya structural/sectoral reforms miaka iliyopita leo kila kitu kimetupwa kapuni au flushed into drains. Nimemsikia Waziri wa fedha akisuggest some post serilkalini zitangazwae na kufanya usaili wa wazi kufuata qualifications and uzoefu wa kazi tarajiwa na sio qualification za kisiasa. Tafakari.
 
Mto wa mbu, unachekesha sijui unaishi nji gani TZ kweli? Everything kimekuwa centralised ajira zote ni utumishi ofisi ya Rais so basically mwajiri mkuu ni Rais mwenyewe. Hili lilifanyika ili kupolitisize position zote kwa faida za kisiasa. Nafasi zote hata za kiteundaji zimegeuzwa za kisiasa wala sicho unachokizungumza. Yametumika mamilion ya fedha kufanya structural/sectoral reforms miaka iliyopita leo kila kitu kimetupwa kapuni au flushed into drains. Nimemsikia Waziri wa fedha akisuggest some post serilkalini zitangazwae na kufanya usaili wa wazi kufuata qualifications and uzoefu wa kazi tarajiwa na sio qualification za kisiasa. Tafakari.
Smart and well brained. Upo vizuri
 
Mto wa mbu, unachekesha sijui unaishi nji gani TZ kweli? Everything kimekuwa centralised ajira zote ni utumishi ofisi ya Rais so basically mwajiri mkuu ni Rais mwenyewe. Hili lilifanyika ili kupolitisize position zote kwa faida za kisiasa. Nafasi zote hata za kiteundaji zimegeuzwa za kisiasa wala sicho unachokizungumza. Yametumika mamilion ya fedha kufanya structural/sectoral reforms miaka iliyopita leo kila kitu kimetupwa kapuni au flushed into drains. Nimemsikia Waziri wa fedha akisuggest some post serilkalini zitangazwae na kufanya usaili wa wazi kufuata qualifications and uzoefu wa kazi tarajiwa na sio qualification za kisiasa. Tafakari.
Mto wa mbu umeona vijana waelewa hawa ? Mtu ukisoma unajua yes kijana yupo good upstair sio wewe

Sasa wewe toka nianze kukusoma naona maruerue umeanzisha hoja umeshindwa kusimamia ktk ulichokiamini
Of course hauna valid point za ku backup your story
 
Ukipitia page za tamisemi lazima kila post ukutane na comment za kuuliza PDF lini.?, Achieni mkeka baasi. PDF mpaka wa 12 Nk
 
Mto wa mbu umeona vijana waelewa hawa ? Mtu ukisoma unajua yes kijana yupo good upstair sio wewe

Sasa wewe toka nianze kukusoma naona maruerue umeanzisha hoja umeshindwa kusimamia ktk ulichokiamini
Of course hauna valid point za ku backup your story
Ana point gani huyu,kwani TAMISEMI ilipokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu, bado si Serikali hiyo hiyo, finally ameshindwa ku-prove how kupata kazi TAMISEMI Kama lazimauwe na connection
 
Mto wa mbu, unachekesha sijui unaishi nji gani TZ kweli? Everything kimekuwa centralised ajira zote ni utumishi ofisi ya Rais so basically mwajiri mkuu ni Rais mwenyewe. Hili lilifanyika ili kupolitisize position zote kwa faida za kisiasa. Nafasi zote hata za kiteundaji zimegeuzwa za kisiasa wala sicho unachokizungumza. Yametumika mamilion ya fedha kufanya structural/sectoral reforms miaka iliyopita leo kila kitu kimetupwa kapuni au flushed into drains. Nimemsikia Waziri wa fedha akisuggest some post serilkalini zitangazwae na kufanya usaili wa wazi kufuata qualifications and uzoefu wa kazi tarajiwa na sio qualification za kisiasa. Tafakari.
Naona maneno mengi lakini hakuna evidence yeyote kuonesha kuwa kupata kazi TAMISEMI lazima uwe na connection
 
Back
Top Bottom