Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,471
- 11,252
- Thread starter
- #421
Hayo Ni matikiti maji yanabatishaHii nchi Uhuru umezidi...wewe hizi taarifa umezitoa wapi??
Hayo Ni matikiti maji yanabatishaHii nchi Uhuru umezidi...wewe hizi taarifa umezitoa wapi??
Soma tema ile taarifa kisha ndo uje u comment. Naona unadandia gari moshi kwa mbele tuHii nchi Uhuru umezidi...wewe hizi taarifa umezitoa wapi??
Kibuyu kweli wewe. Kujua kusoma na kuandika basi ni shida kwa wengine. Unaweza kuwa mjanja ila ukawa mbumbu wa fikra. Iyo taarifa ukiisona tena utaelewa vzr tu.Hayo Ni matikiti maji yanabatisha
Huna ulijualo kazi kubwabwaja. Huna akiliJamaa we tikiti maji kabisa
Sawa beki tatu wa BashungwaHuna ulijualo kazi kubwabwaja. Huna akili
Connection zipo sanaa usitake tutaje watu humu ndani mkaanza kutusaka wapo watu wamepata kazi kwakua baba zao au ndugu zao ni wakubwa huko, yuko mtoto flan baba ake ni mkaguzi flan wa mahesabu wizara flan mwanae alipata kazi T.r.a wakati huo walitaka watu wa degree yeye alikua ndio kwanza kamaliza diploma chuo. Cha kodi na akasema mzee ananifanyia mpango T.r.a na kweli alipata. Yuko ktb mkk wizara flan alimuahidi mtoto wa rafiki ake kazi wizara ya afya na kapata na yupo boss mmoja TSF alimtafutia kazi ustawi wa jamii mtu flan alimwambia tuma maombi kisha nambie na akapata...hiyo ni mifano tu usitake tufumue kwingine mtu anaitwa Msafiri kazini anaitwa PeterHi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.
Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.
Badirika
Duuuu hii TZ kiboko,,,Basi za Tamisemi kwa kua ni Maelfu watakuwa wameingizana sanaConnection zipo sanaa usitake tutaje watu humu ndani mkaanza kutusaka wapo watu wamepata kazi kwakua baba zao au ndugu zao ni wakubwa huko, yuko mtoto flan baba ake ni mkaguzi flan wa mahesabu wizara flan mwanae alipata kazi T.r.a wakati huo walitaka watu wa degree yeye alikua ndio kwanza kamaliza diploma chuo. Cha kodi na akasema mzee ananifanyia mpango T.r.a na kweli alipata. Yuko ktb mkk wizara flan alimuahidi mtoto wa rafiki ake kazi wizara ya afya na kapata na yupo boss mmoja TSF alimtafutia kazi ustawi wa jamii mtu flan alimwambia tuma maombi kisha nambie na akapata...hiyo ni mifano tu usitake tufumue kwingine mtu anaitwa Msafiri kazini anaitwa Peter
Yaaani huu muungano hapana, Zanzibar Ina shule chache kuliko mkoa wa KilimanjaroHivi haya mambo huwa yakoje?, nimemsikia Rais Samia akisema Zanzibar inatarajia kuajiri walimu 4000. Ina maana mahitaji ya Zanzibar Ni nusu ya huku bara ambako ajira zilizotangazwa ni 9800.
Yani michongo haitaisha labda mashine ndio iwe inaajiri labda ndio itatenda hakiDuuuu hii TZ kiboko,,,Basi za Tamisemi kwa kua ni Maelfu watakuwa wameingizana sana
Mkuu connection hatupati huko?Connection zipo sanaa usitake tutaje watu humu ndani mkaanza kutusaka wapo watu wamepata kazi kwakua baba zao au ndugu zao ni wakubwa huko, yuko mtoto flan baba ake ni mkaguzi flan wa mahesabu wizara flan mwanae alipata kazi T.r.a wakati huo walitaka watu wa degree yeye alikua ndio kwanza kamaliza diploma chuo. Cha kodi na akasema mzee ananifanyia mpango T.r.a na kweli alipata. Yuko ktb mkk wizara flan alimuahidi mtoto wa rafiki ake kazi wizara ya afya na kapata na yupo boss mmoja TSF alimtafutia kazi ustawi wa jamii mtu flan alimwambia tuma maombi kisha nambie na akapata...hiyo ni mifano tu usitake tufumue kwingine mtu anaitwa Msafiri kazini anaitwa Peter
Hakuna ajira leo Hadi ijumaaSi mlisema j3 [emoji3] ngoja tuone na hii inaweza ikawa ramli
Mimi sio mwalimuHakuna ajira leo Hadi ijumaa
Huhitaji kumwambia kila kitu...asiejua maana..haambiwi maanaConnection zipo sanaa usitake tutaje watu humu ndani mkaanza kutusaka wapo watu wamepata kazi kwakua baba zao au ndugu zao ni wakubwa huko, yuko mtoto flan baba ake ni mkaguzi flan wa mahesabu wizara flan mwanae alipata kazi T.r.a wakati huo walitaka watu wa degree yeye alikua ndio kwanza kamaliza diploma chuo. Cha kodi na akasema mzee ananifanyia mpango T.r.a na kweli alipata. Yuko ktb mkk wizara flan alimuahidi mtoto wa rafiki ake kazi wizara ya afya na kapata na yupo boss mmoja TSF alimtafutia kazi ustawi wa jamii mtu flan alimwambia tuma maombi kisha nambie na akapata...hiyo ni mifano tu usitake tufumue kwingine mtu anaitwa Msafiri kazini anaitwa Peter
Hahahaa..huko mpaka uwe na mbuyu ndio wanaitana yani asali inalambwa na wenye ulimi mrefu, yan wanaopata kule bila connection ni wachache sanaMkuu connection hatupati huko?
Haya bwana acha tuendelee kuishi kwa imaniHahahaa..huko mpaka uwe na mbuyu ndio wanaitana yani asali inalambwa na wenye ulimi mrefu, yan wanaopata kule bila connection ni wachache sana
Mmm yaani majina 9800 useme wanaopata bila connection Ni wachache, Hivi unajua ATA majina elfu Mbili sio mchezoHahahaa..huko mpaka uwe na mbuyu ndio wanaitana yani asali inalambwa na wenye ulimi mrefu, yan wanaopata kule bila connection ni wachache sana
Anakupanikisha bure tuHaya bwana acha tuendelee kuishi kwa imani
MmmmHuhitaji kukwambia kila kitu...asiejua maana..haambiwi maana