Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Hawa jamaa hawatoi pdf letu mpaka saaizi, au ndio wanatunyofoa nyofoa watoto wa wakulima wa nanjinanji tusio na connection yeyote
 
Kwahiyo waziri mwenye dhamana kakutuma uje utuaminishe hilo??

Kwanza mtoto wa waziri na hilo lidudu tamisemi wapi na wapi??
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
 
Wanangu tushacheza sana fair na hakuna matokeo, basi tucheze rafu tu!! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ila sijasema tutoe rushwaa, but wewe fanya ufanyavyo, upate kazi!
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
Vigezo vipi wametumia
 
20 June kinafanyika kikao cha mwisho kuhakikisha kwamba selection imezingatia vijijini. Tarehe 20 hiyohiyo June KATIBU Mkuu akiridhishwa ataitisha vyombo vya habari siku ya jumanne 21. Saa 7 mchana akisha maliza mkutano na vyombo vya habari mkekaa utaachiwa saa kuanzia 12 jioni siku hiyo hiyo.

Siki kumi na nne za kuripoti kama kawaida.

Hivyo ndugu zangu waalimu muandae NAULI. Tarehe 21 hadi 5 Julai muda wa kuripoti.

Omba MUNGU jina lako lirudi tu.

Kila la heri Ndugu watumishi wa umma.

Save hii comment ili uje uniambie UTABIRI WANGU umenyooka au la!.
Haaaaa kwamba selection zilifanywa bila kuangalia vijiji, kwa tarifa yako kila shule/kituo Cha afya kilichoonekana kwenye mfumo kitapata Mtumishi,afu PDF ilikamilika since 19/05
 
Wanangu tushacheza sana fair na hakuna matokeo, basi tucheze rafu tu!! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ila sijasema tutoe rushwaa, but wewe fanya ufanyavyo, upate kazi!
Tutoe Rushwa, Ila duniani kila kitu Ni connection, ata JPM alisema hasingekuwa raisi bila Ya Kikwete
 
Haaaaa kwamba selection zilifanywa bila kuangalia vijiji, kwa tarifa yako kila shule/kituo Cha afya kilichoonekana kwenye mfumo kitapata Mtumishi,afu PDF ilikamilika since 19/05
Ni kweli ila Mjini ushindani si ndo vile japo ilitokea ila kwa neema kutoboa kupo. Ila ndo hivyo jumatatu taarifa ya vyombo vya habari kuitwa na Ndugu KATIBU Mkuu TAMISEMI ni uhakika iyo
 
Back
Top Bottom